Mahakama ya Kilifi imehairisha kesi inayomhusu mshukiwa wa unyakuzi wa ardhi ya thamani ya shilingi milioni 165 hadi tarehe 29 mwezi Mei mwaka huu. Armando Tanzini ambaye...
Viongozi wa Pwani wamekosolewa kwa kulifumbia macho suala la ulanguzi wa dawa za kulevya lililosababisha vijana wengi kuangamia kutokana na matumizi ya dawa za kulevya. Kulingana...
Chama cha Jubilee kimemkosoa vikali Katibu Mkuu wa chama cha UDA, Hassan Omar, kufuatia matamshi yake yaliyomhusu Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta. Viongozi wa Jubilee wakizungumza katika mkutano wa...
Zaira ya rais William Ruto ya siku tano katika ukanda wa Pwani imeonekana kuwa na ahadi nono kwa wenyeji huku zaidi ya takribani shilingi bilioni 85...
Maafisa wa sekta ya uchukuzi wameahirisha mgomo wao baada ya mazungumzo yaliyoongozwa na Rais William Ruto katika ikulu ya Mombasa. Maafisa hao wakiongozwa na rais wa...