Idara ya usalama kaunti ya Kilifi imetoa onyo kali kwa wanaoendeleza unyakuzi wa ardhi za umma, ikisema watakabiliwa kikamilifu. Kamishna wa kaunti ya Kilifi David Wanyonyi...
Mahakama ya Kilifi imewanyima dhamana washukiwa wawili wa ulanguzi wa Mihadarati baada ya kukana mashtaka dhidi yao. Hakimu wa Mahakama hiyo Ivy Wasike, ameagiza wawili hao, Esha...
Baada ya serikali na wadau wa sekta ya uchukuzi nchini kufikia makubaliano ya kusitishwa kwa mgomo wa kitaifa, sasa mikakati ya kupunguzwa kwa bei ya mafuta...
Mahakama ya Kilifi imemwachilia kwa dhamana ya shilingi laki mbili mshukiwa wa wizi wa kimabavu baada ya kukanusha mashtaka dhidi yake. Hakimu wa Mahakama hiyo Ivy...
Maafisa wa kukabiliana na ulanguzi wa dawa za kulevya kaunti ya Kilifi wafanya oparesheni ya kiusalama na wamewatia nguvuni watu wawili wanaoshukuwa kuhusika na biashara hiyo...