Waumini wa dini ya kiislamu kote ulimwenguni wameungana pamoja kuswali swala ya Eid-ul-Adha katika maeneo mbalimbali. Eid-ul-Adha hukumbusha waumini wa dini ya kiislamu umuhimu wa umoja,...
Tabasamu na matumaini zimetanda miongoni mwa familia za watoto wenye uwezo maalum mjini Kilifi baada ya Shirika la Association for the Physically Disabled of Kenya kwa...
Kama njia mojawapo ya kuimarisha mazingira na kukabiliana na mabadiliko ya hali ya anga, viongozi wa chuo Kikuu cha pwani kwa ushirikiano na Coco FM pamoja...
Mkuu wa mawaziri nchini Musalia Mudavadi amewataka wakenya kuzingatia taratibu zilizotolewa na Wizara ya afya nchini kufuatia mlipuko wa ugonjwa wa virusi vya Ebola katika nchi...
Mahakama ya Kilifi imehairisha kesi inayomhusu mshukiwa wa unyakuzi wa ardhi ya thamani ya shilingi milioni 165 hadi tarehe 29 mwezi Mei mwaka huu. Armando Tanzini ambaye...