Mahakama ya Kilifi imemuachilia huru mwanaume mmoja aliyekuwa akikabiliwa na mashtaka ya unajisi. John Mwatule Daniel aliachiliwa huru baada ya kesi iliyowasilishwa Mahakamani dhidi yake kukosa...
Shinikizo linaendelea kumkabili Spika wa bunge la kitaifa, Moses Wetang’ula na mwenzake wa Seneti Amason Kingi baada ya maombi mapya ya kumtia hatiani kwa kudharau amri...
Mahakama ya Mombasa imeamuru washukiwa wanne wanaohusishwa na kusambaza taarifa za kupotea kwa sehemu za siri za wanaume kuzuiliwa kwa siku 10. Washukiwa hao ni pamoja...
Idara ya usalama kanda ya Pwani imewaonya wananchi wanaomiliki silaha haramu katika kaunti ya Tana river. Mshirikishi wa utawala kanda ya Pwani Paul Rotich aliwataka wanaomiliki...
Spika wa bunge la Kitaifa Moses Wetangula na spika wa bunge la Seneti Amason Kingi wamepigwa breki kujihusisha na mikutano ya kisiasa. Hii ni kufuatia amri...