Mahakama ya Mombasa imeamuru washukiwa wanne wanaohusishwa na kusambaza taarifa za kupotea kwa sehemu za siri za wanaume kuzuiliwa kwa siku 10. Washukiwa hao ni pamoja...
Idara ya usalama kanda ya Pwani imewaonya wananchi wanaomiliki silaha haramu katika kaunti ya Tana river. Mshirikishi wa utawala kanda ya Pwani Paul Rotich aliwataka wanaomiliki...
Spika wa bunge la Kitaifa Moses Wetangula na spika wa bunge la Seneti Amason Kingi wamepigwa breki kujihusisha na mikutano ya kisiasa. Hii ni kufuatia amri...
Rais William Ruto ametia saini kuwa sheria mswada wa hazina ya kitaifa ya uwekezaji wa mali (Sovereign Wealth Fund), hatua inayotajwa kuwa muhimu katika juhudi za...
Kiongozi wa vijana katika Chama cha Wiper kaunti ya Kwale Nyawa Masai ameikosoa Tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC kutokana na masharti mapya iliyotoa...