Mahakama ya Malindi imewaamuru wakurugenzi wa Kampuni ya Bima ya Direct Line kufika Mahakamani binafsi kwa ajili ya kuhojiwa. Hii ni baada ya kampuni hiyo kushindwa...
Takribani bunduki 90 ambazo zilikuwa zikimiliwa na watu kinyume cha sheria zimesalimishwa kwa maafisa wa polisi katika kaunti ya Tana River. hatua hiyo imetokana na oparesheni...
Mwanasiasa Zawadi Kingi amekosoa uongozi duni unaondelea kushuhudiwa katika eneo bunge la Ganze, akisema viongozi walio mamlakani wameonyesha wazi kushindwa kutimiza malengo ya wananchi. Akizungumza katika...
Mahakama ya Kilifi imewahukumu kifungo cha mwaka mmoja gerezani baba na mwanawe wanaohusishwa na kesi ya tuhma za kupotea kwa sehemu nyeti. Wawili hao Benson Ngala...
Kinara wa Chama cha Democracy for Citizens Party (DCP), Rigathi Gachagua, amemshutumu Inspekta Jenerali wa Polisi, Douglas Kanja, kwa kusimamia operesheni ya usalama inayodaiwa kulenga kuvuruga...