Kituo cha kitaifa cha kukabiliana na ugaidi yaani National Counter Terrorism Centre (NCTC) kimeanzisha mpango wa kutoa hamasa za kuwaepusha wananchi na masuala ya ugaidi hasa...
Mahakama ya Malindi imewaamuru wakurugenzi wa Kampuni ya Bima ya Direct Line kufika Mahakamani binafsi kwa ajili ya kuhojiwa. Hii ni baada ya kampuni hiyo kushindwa...
Takribani bunduki 90 ambazo zilikuwa zikimiliwa na watu kinyume cha sheria zimesalimishwa kwa maafisa wa polisi katika kaunti ya Tana River. hatua hiyo imetokana na oparesheni...
Mwanasiasa Zawadi Kingi amekosoa uongozi duni unaondelea kushuhudiwa katika eneo bunge la Ganze, akisema viongozi walio mamlakani wameonyesha wazi kushindwa kutimiza malengo ya wananchi. Akizungumza katika...
Mahakama ya Kilifi imewahukumu kifungo cha mwaka mmoja gerezani baba na mwanawe wanaohusishwa na kesi ya tuhma za kupotea kwa sehemu nyeti. Wawili hao Benson Ngala...