Tume ya maadili na kupambana na ufisadi EACC imesema imefaulu kurejesha shilingi bilioni 7.8 zilizoporwa. EACC kwenye taarifa yake kwa vyombo vya habari, imeeleza kwamba fedha...
Wafanyibiashara kuuza matunda aina ya Nanasi kaunti ya Kilifi wanasema biashara ya matunda hayo inazidi kudorora msimu huu ikilinganishwa na msimu uliopita. Kulingana na wafanyibiashara hao,...
Wakaazi wa kaunti ya Kilifi wametishia kuandamana hadi katika ofisi za Gavana wa kaunti ya Kilifi Gideon Mung’aro kufuatia uhaba maji uliyodumu kwa takribani mwezi mmoja...
Waziri wa Kawi nchini Opiyo Wandayi ameweka wazi kwamba hatajiuzulu licha ya shinikizo kutoka kwa baadhi ya viongozi wa kisiasa na mashirika ya kijamii, kumtaka ajiuzulu....
Kaunti ya Lamu imeandaa Awamu ya Pili ya mkutano wa ngazi ya juu kwa ajili ya kuangazia mikakati ya kuangamiza ukame ambayo ni hatua muhimu kuelekea...