Mahakama Kuu nchini imesitisha kwa muda mpango wa serikali ya Marekani na Kenya wa kuanzisha kituo cha karantini cha Ebola humu nchini. Jaji wa Mahakama hiyo,...
Mahakama ya Kilifi imeagiza kuzuiliwa rumande kwa siku 21 mwanamke mmoja anayekabiliwa na shtaka la kumuuwa mwanawe kwa kumzika akiwa hai. Hakimu wa Mahakama hiyo Charles...
Idadi kubwa ya wanawake na wasichana katika kaunti ya Kilifi bado hawajahamasishwa vilivyo kuhusu masuala ya afya ya uzazi na haki yao ya kupata huduma bora...
Serikali imethibitisha kwamba wanafunzi 16 wa shule ya upili ya wasichana ya Utumishi Girls Academy eneo la Gilgil kaunti ya Nakuru wameaga dunia na wengini 79...
Waumini wa dini ya kiislamu kote ulimwenguni wameungana pamoja kuswali swala ya Eid-ul-Adha katika maeneo mbalimbali. Eid-ul-Adha hukumbusha waumini wa dini ya kiislamu umuhimu wa umoja,...