Sports
Morocco Waanza Mazoezi Nyayo Tayari Kwa CHAN
- Al Harrar Elmehdi
- Rachid Ghanimi (FUS Rabat)
- Aqzdaou Omar (Wydad Casablanca)
Mabeki:
- Moufid Mohamed (Wydad Casablanca)
- Boulacsout Mohamed
- Mchakhchekh Mehdi
- Louadni Marouane
- Arrassi Bouchaib
- Assal Abdelhak (RS Berkane)
- Belammari Youssef (Raja Casablanca)
- Zahouani Fouad
Viungo:
- Khairi Ayoub (RS Berkane)
- Hrimat Mohamed Rabie
- Souane Amine
- Essadak Houssam
- Hajji Reda (RS Berkane)
- Bach Anas
- Aït Ouarkhane Khalid
- Bougrine Sabir
Washambulizi:
- Mehri Youssef (RS Berkane)
- El Mahraoui Anass
- Bouhra Saïf-Eddine (Wydad Casablanca)
- Baba Khalid
- Riahi Imad (RS Berkane)
- Salaheddine Errahouli
- Mouloua Ayoub
- El Kaabi Youness
- Lamlioui Oussama (RS Berkane) Morocco wanafungua kampeini Yao dhidi ya Angola siku ya Jumapili Ugani Nyayo kwenye kundi A.
Sports
Klabu ya Arsenal guu moja kuingia hatua ya Nusu fainali Klabu bingwa baada ya ushindi dhidi ya Sporting
Sports
Wakili George Kithi akabidhiwa rasmi Cheti cha uenyekiti wa bodi ya Michezo marufu kama Sports Arts and Social Development Fund (SASDF)
Waziri wa Wizara ya Masuala ya Vijana, Uchumi bunifu na Michezo, Salim Mvurya, ameshudia hafla rasmi ya kukabidhiwa uenyekiti wa Bodi ya Sports, Arts and Social Development Fund (SASDF) kutoka kwa Luteni Jenerali Mstaafu Jackson Tuwei kwenda kwa Mheshimiwa wakili George Kithi. Hafla hiyo ilifanyika, jijini Nairobi hii leo.
Akizungumza wakati wa hafla hiyo, Waziri Mvurya alimpongeza Luteni Jenerali (Mstaafu) Tuwei kwa uongozi wake wa mfano na kujitolea kwake katika kipindi chake cha utumishi. Alibainisha kuwa chini ya uongozi wake, bodi hio iliimarika na kuwa taasisi imara na yenye mwitikio zaidi katika kusaidia na kuendeleza vipaji vya Wakenya.
Aidha, Waziri alieleza imani yake kwa uongozi wa Mheshimiwa wakili George Kithi, akimhakikishia ushirikiano na msaada kamili kutoka kwa Wizara katika kutekeleza majukumu ya Bodi kwa kipindi chake cha miaka mitatu.
SASDF inaendelea kuwa nguzo muhimu katika kulea na kukuza vipaji vya Kenya, pamoja na kuimarisha hadhi ya nchi kimataifa kupitia michezo na uchumi wa ubunifu. Kupitia uwezeshaji wa wanamichezo, wasanii na wadau wa utamaduni, mfuko huo unachangia pakubwa katika ukuaji wa sekta za michezo na ubunifu nchini.

