Serikali imesema imeweka mipango ya kuimarisha ufugaji mashiani kupitia teknolojia ili kupiga jeki uchumi wa taifa. Akizungumza nchini Qatar rais Wiliam Ruto alisema kuwa ufugaji ni...
Wadau katika sekta ya utalii eneo la Watamu kaunti ya Kilifi wanasema uhaba wa maji ambao unashuhudiwa kwa mda mrefu unaathiri biashara zao. Kulingana na wadau...
Wafanyibiashara wa kuuza matunda kaunti ya kilifi wanalalamikia kudorora kwa biashara zao kufuatia kupungua kwa matunda. Wakizungumza na Coco Fm wafanyibiashara hao walisema kwa sasa matunda...
Wadau wa sekta ya utalii eneo la Pwani wametoa wito kwa serikali kufungua anga ya Kenya kwa mashirika zaidi ya ndege za kimataifa, wakisema kuwa hatua...
Waziri wa Utalii, Rebecca Miano, amesema Kenya inalenga kupokea watalii milioni 5 wa kimataifa na wengine takriban milioni 10 wa ndani kwa ndani. Akizungumza jijini Mombasa...
Bandari ya Mombasa imeendelea kuthibitisha nafasi yake kama lango kuu la biashara Afrika Mashariki baada ya kupokea kwa mara ya kwanza meli kubwa ya mizigo, ya...
Ni afueni kwa wakulima wa majani Chai baada ya Waziri wa Kilimo nchini Mutahi Kagwe kuzindua soko la mauzo ya Chai maalum ya Othodox katika mnada...
Mapato ya kilimo cha mboga na matunda yalipungua hadi shilingi bilioni 136.6 ikilinganishwa na shilingi bilioni 156.7 zilizonakiliwa mwaka jana. Mapato ya majani chani pia yalipungua...
Mamlaka ya udhibiti wa kawi na petroli (EPRA) imekutana na maafisa wa Serikali ya Kaunti ya Mombasa kwa lengo la kutoa elimu kuhusu kanuni mpya za...
Wafanyibiashara humu nchini wanaendelea kulalamikia kudorora kwa uchumi siku chache tu baada ya rais Wiliam Ruto kusema kuwa uchumi wan chi umeimarika. Wakizungumza mjini Kilifi kaunti...