Waziri wa Kilimo, Mutahi Kagwe, amesisitiza umuhimu wa wakulima nchini kukumbatia teknolojia ya kisasa katika shughuli zao za ufugaji, akisema kuwa hiyo ndiyo njia bora ya...
Wavuvi wa eneo la Pwani wameitaka serikali kuu na zile za kaunti kuwatafutia masoko ya kimataifa kwa ajili ya bidhaa zao za samaki. Wavuvi hao walisema licha...
Utafiti wa udhibiti wa sekta ya fedha humu nchini uliotolewa na benki kuu ya Kenya unaonyesha kuwa uwekaji mifumo ya kifedha mitandaoni inachangia kwa mchipuko wa...
Bandari ya Mombasa imepokea meli ya kwanza ya aina yake, MV Grande Shanghai, ambayo imetengenezwa kwa teknolojia ya kisasa inayowezesha kupunguza kwa kiasi kikubwa uchafuzi wa mazingira....
Rais William Ruto amesema kuwa uchumi wa taifa umeimarika hata zaidi tangu alipoingia mamlakani. Akizungumza na vyombo vya habari rais Ruto alidokeza kuwa mwaka wa 2022...
Halmashauri ya bandari nchini KPA imetangaza mpango wa kuboresha huduma katika kivuko cha feri cha Likoni, unaojulikana kama “Traffic Circulation Management Plan” unaolenga kupunguza msongamano, kuongeza usalama, na kuboresha...
Benki ya KCB kwa ushirikiano na bebki ya Afrexim zimeingia kwenye mkataba wa maelewano unaolenga kutoa usaidizi wa kuwezesha kifedha na kibiashara kwa wawekezaji wanaoendesha shughuli...
Shirika la kutathmini ubora wa mbegu na ustawishaji wa mimea nchini (KEPHIS), limepinga vikali mswada wa marekebisho ya mbegu na aina za mimea wa mwaka 2025,...
Vijana humu nchini wamehimizwa kukumbatia ukulima wa bustani ili kujiiinua kiuchumi. Kulingana na Swalehe Joha ambaye anaendeleza kilimo hicho kutumia mitungi, alisema wakulima wanaweza endeleza kilimo bila hata kuwa na...
Rais William Ruto ameikabidhi bodi ya majani chai shilingi bilioni 2.65 zilizopatikana kwa benki ambazo zimeshindwa kujiendeleza. Pesa hizo zilitoka kwa benki ya Chase na Benki...