Mwanamuziki wa muziki wa kufoka (hip-hop) Kaa la Moto ameendelea kuthibitisha kuwa bado ni nguzo muhimu katika harakati za muziki wa Pwani, baada ya kuachia wimbo...
Mchekeshaji maarufu wa Kenya, Sammy Kioko, ametangaza kuwa ameamua kuuza gari lake ili kukusanya fedha za kugharamia matibabu ya dada yake ambaye anapitia changamoto kubwa kiafya....
Wimbo Diamond Platnumz na Ciara “Low” umeingia rasmi kwenye chati kubwa za muziki Marekani, ukishika nafasi ya #37 kwenye Billboard Mainstream R&B/Hip-Hop Airplay na #49 kwenye...
Kifo cha Raila Amolo Odinga, maarufu kama Baba, kimeacha pengo kubwa katika historia ya Kenya.Sio tu kwenye siasa, bali pia katika ulimwengu wa sanaa na muziki...
Mchungaji na msemaji wa motisha, Robert Burale, amewashtaki mke wake wa zamani, Rozina Mwakideu, na mtangazaji wa redio na televisheni, Alex Mwakideu, kwa madai ya kumchafulia...
Muunda maudhui maarufu kutoka Kenya, Presenter Kai, amewataka wasanii waliojitokeza kwa pamoja kutengeneza wimbo DEDE, Kilifi One, kuufuta kwenye mitandao na kurudi tena studio. Kai, ambaye...
Mwanamuziki nyota wa Kenya, Bien-Aimé Baraza almaarufu Bien, amepata nafasi kubwa ya kimataifa baada ya kutajwa miongoni mwa wasanii watakaotumbuiza kwenye tamasha la Afro Nation Portugal...
Uhasama wa muda mrefu kati ya mastaa wakubwa wa rap, Cardi B na Nicki Minaj, umeibuka tena, ukifufua moja ya bifu maarufu zaidi katika historia ya...
Mwanamuziki maarufu wa Dancehall, Vybz Kartel, amesisimua mashabiki mtandaoni baada ya kujibu comment kwa lugha ya Kiswahili. Msanii huyu kutoka Jamaica, anayejulikana pia kama World Boss,...
Malkia wa Bongo Flava, Zuchu, ametuhumu hadharani Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) kwa kushindwa kumlipa baada ya kutumbuiza katika fainali za Mashindano ya Mataifa ya...