News

Kenya Police Bullets Mabingwa KWPL

Published

on

Kilabu ya akina dada Kenya Police Bullets ndiyo mabingwa wa ligi ya taifa akina dada kwpl baada ya kuwanyuka Trinity starlets magoli 4-0 mechi ya mwisho hapo jana ugani afraha stadium Nakuru

Winga matata Emily Kemunto moranga alifungua ukurasa wa magoli dkaika 40,kisha Mshambulizi matata Rebecca Becky Okwaro akifunga magoli matatu dakika ya 55 ,dakika ya 79 na dakika 89 na kuchukua kiatu cha dhahabu kwa kufunga magoli 16 msimu huu

Kocha wa Bullets Beldine Odemba hakuficha furaha yake baada ya kushinda kombe hilo kwa mwaka wa pili mfululizo akitaja kwamba upinzani ulikua mkali ila wasichana wake wamepigana mpaka siku ya mwisho kubeba taji hilo.

Katika matokeo mengine

Kisped Queens 2-1 Vihiga Queens

Bunyore Starltes 0-3 Bungoma Queens

Kibera soccer Women  7-0 Mombasa olympic

Ulinzi Starlets 4-0 Kisumu All Starlets

JEDWALI

Bullets alama 46

Ulinzi starlets 45

Kibera soccer alama 42

Kayole starlets ni mabingwa wa KWNSL Baada ya kunyuka kayolets 3-0 madira soccer assasin

Iron ladies 3-0 Diani Quens na kushinda taji la fkf divisheni ya kwanza.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Trending

Exit mobile version