Sports

Mancity Waingia Kwenye Hatua Muondoano Kombe La Dunia

Published

on

Kilabu ya Manchester City imejiunga na mibabe katika raundi ya 16 bora kombe la Dunia baina ya Vilabu nchini Marekani.

Hii ni baada ya vijana wa kocha Pep Guardiola kufumua Juventus ya Italia magoli 5-2 uwanjani Camping World Stadium,winga matata Jeremy Doku aliwatanguliza City dakika ya 9 kabila ya Juve kujibu kupitia kwa kiungo Teun Koopmeiners dakika ya 26 kupitia kwa Piere Kalulu naye mshmabulizi Erling Haaland akiweka la tatu dakika ya 52.

Kiungo Phil Foden aliweka kambani chuma cha nne dakika 67 naye Savinho akifunga la tano.

Katika Droo timu 16 bora ni kwamba ;Inter vs Fluminese,Mancity vs Al-Hilal,Real vs Juventus

Jumamosi;

Palmeiras vs Botafogo fc saa moja usiku 7;00pm

Chelsea vs Benfica saa tano usiku 23;00pm

Jumapili:

Psg vs Inter Miami 7;00pm

Flamengo vs Bayern Munich 23:00pm

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Trending

Exit mobile version