Sports
Mancity Waingia Kwenye Hatua Muondoano Kombe La Dunia
Kilabu ya Manchester City imejiunga na mibabe katika raundi ya 16 bora kombe la Dunia baina ya Vilabu nchini Marekani.
Hii ni baada ya vijana wa kocha Pep Guardiola kufumua Juventus ya Italia magoli 5-2 uwanjani Camping World Stadium,winga matata Jeremy Doku aliwatanguliza City dakika ya 9 kabila ya Juve kujibu kupitia kwa kiungo Teun Koopmeiners dakika ya 26 kupitia kwa Piere Kalulu naye mshmabulizi Erling Haaland akiweka la tatu dakika ya 52.
Kiungo Phil Foden aliweka kambani chuma cha nne dakika 67 naye Savinho akifunga la tano.
Katika Droo timu 16 bora ni kwamba ;Inter vs Fluminese,Mancity vs Al-Hilal,Real vs Juventus
Jumamosi;
Palmeiras vs Botafogo fc saa moja usiku 7;00pm
Chelsea vs Benfica saa tano usiku 23;00pm
Jumapili:
Psg vs Inter Miami 7;00pm
Flamengo vs Bayern Munich 23:00pm