Sports

Rasmi Ronaldo Asaini Mkataba Mpya Wa Miaka 2 Al-Nassr

Published

on

Mshambulizi nyota wa Taifa la Ureno Cristiano Ronaldo amwaga wino mkataba wa miaka 2 na kilabu yake ya Al Nassr na kupuzilia mbali uvumi kuondoka kwa kilabu hiyo ambayo alijiunga nao msimu wa mwaka 2023 akitokea Manchester United ya Uingereza.

Duru zakuaminika zasema kwamba gwiji huyo atakua anapokea mshahara wa pauni milioni 492 kila mwaka katika kandarasi hiyo nono ambaye imetiwa rasmi sahihi leo.

Mchezaji huyo bora mara tano ulimwenguni, mwenye umri wa miaka 40 atakua anapokea mshahara wa pauni laki 488000 kwa siku na pauni milioni 4 za usafiri ya jeti sawa na pauni asilimia milioni 25 kama marupurupu za sajili.

Vilbu vya Al-Hilal na Intermiami vimekua vikimmezea mate mchezaji huyo mshindi wa kombe la Uefa Nations Ligi na Taifa lake mwezi huu.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Trending

Exit mobile version