Wahudumu wa bodoboda kutoka eneo la Kibaoni kaunti ya kilifi wanasema kuwa biashara hiyo imedorora baada ya wanafunzi kufunga shule kwa likizo fupi. Kulingana na Robert...
Wakulima wa mahindi humu nchini wanasema kuwa wanatarajia mavuno bora mwaka huu ikilinganishwa na mwaka jana. Kulingana na wakulima hao mvua inayoendelea kunyesha kote nchini inawapa...
Wanawake kutoka maeneo ya Pwani wanaitaka serikali kuu na zile za kaunti kuhakikisha wanashirikishwa kikamilifu katika sekta ya uchumi wa majini ili kujiendeleza kimaisha. Wakiongozwa na...
Wadau wa sekta ya utalii wanaojihusisha na uuzaji vinyago mjini Malindi kaunti ya Kilifi wanalalamikia kusambaratika kwa biashara zao kufuatia idadi ndogo ya watalii wanaozuru eneo...
Wafanyibiashara wa kuuza maembe katika eneo la mariakani kaunti ya kiliifi wanasema kuwa msimu huu wa mvua biashara iko chini ikilinganishwa na msimu wa kiangazi. Kulingana...
Wafugaji kaunti ya Kilifi wameshauriwa kuhifadhi nyasi kwa wingi msimu huu wa mvua ili kuwawezesha kuwa na chakula cha kutosha kwa mifugo wao wakati wa ukame....
Wafanyabiashara wa kuuza mitumba katika soko la Mariakani kaunti ya Kilifi wamelalamikia kupungua kwa biashara hiyo hasa musimu huu wa Mvua. Akiongea na mwahabari wetu, Mwenyekiti...
Wachuuzi wa nyanya katika soko la Kwa Charo-Maeo, mjini Kilifi, wamelalamikia athari za mvua zinazoendelea kunyesha, wakisema kuwa hali hiyo inasababisha nyanya nyingi kufika sokoni zikiwa...
Sekta ya uvuvi katika mji wa Malindi kaunti ya Kilifi, inaendelea kukumbwa na changamoto kufuatia upepo mkali unaovuma baharini kwa kipindi cha wiki kadhaa sasa, hali...
Utafiti wa hivi karibuni uliofanywa na Benki Kuu ya Kenya (CBK) katika sekta ya Kilimo umebainisha kuwa kuna ongezeko la bei ya bidhaa muhimu za chakula,...