Halmashauri ya bandari Kenya (KPA) pamoja na serikali ya kaunti ya Siaya zimeahidi kushirikiana kwa karibu kuimarisha miundomsingi ya usafiri na biashara katika ukanda wa Ziwa...
Kamati ya bunge la kitaifa kuhusu uchumi wa bahari na masuala ya ubaharia imewataka wawekezaji wote waliovamia ardhi zilizotengewa Kauli hii ilijiri baada ya wavuvi na...
Washirika kutoka mataifa saba duniani wanatarajiwa kushiriki katika maonyesho ya kimataifa ya kilimo ya mwaka 2025 yanayofanyika eneo la Mkomani kaunti ya Mombasa. Mwenyekiti wa maonyesho...
Wafugaji wa Nyuki eneo la Mida kaunti ya Kilifi wameitaka serikali kuu na zile za kaunti kukumbatia Kilimo cha Nyuki ili kuendeleza uzalishaji wa Asali na...
Wakulima katika mradi wa unyunyizaji maji mashamba katika mradi wa Hola irrigation Scheme Kaunti ya Tanariver wameeleza matumaini ya kupata mazoa bora kufuatia hatua ya serikali...
Wakulima wa zao la pamba kaunti ya Lamu wamepata afueni baada serikali kujengewa kiwanda cha kutayarisha zao la pamba. Katibu katika idara ya uekezaji kaunti hiyo...
Serikali imezindua mpango wa kuwasajili wakulima zaidi ya laki tano kupitia mfumo wa usimamizi wa kilimo. Katibu katika idara ya Kilimo nchini Kiprono Runo alisema kuwa...
Serikali ya kitaifa kupitia bodi ya utalii nchini (KTB) imeweka mikakati ya kuwavutia wawekezaji wa kimataifa ili kupanua soko la wageni kutoka mataifa ya nje. Mwenyekiti...
Wahudumu wa sekta ya uchukuzi wa Tuktuk katika wadi ya Mariakani eneo la bunge la Kaloleni kaunti ya Kilifi wanaendelea kulalamikia gharama ya juu ya bei...
Wafanyabiashara wa madafu katika ufuo wa bahari wa Jumeirah, kaunti ya Mombasa, wameeleza kufurahishwa na kuimarika kwa biashara yao, wakisema kuwa kiwango cha mauzo kimeongezeka kwa...