Idara ya biashara na viwanda kaunti ya kilifi imesema kuwa mpango wa ujenzi wa soko jipya la kisasa mjini Malindi ni hatua itakayopiga jeki sekta ya...
Mamlaka ya bandari nchini KPA imeanzisha zoezi la kusafisha maeneo ya kuhifadhi mizigo katika bandari ya Mombasa katika juhudi za kuboresha utoaji wa huduma na kuhakikisha...
Wadau wa sekta ya utalii kaunti ya Mombasa wamepinga vikali pendekezo la shirika la huduma kwa wanyamapori nchini (KWS) la kutaka kuongeza ada za kuingia na...
Wachuuzi wa zao la nazi eneo la pwani wanasema kuwa biashara hiyo imeimarika msimu huu ikilinganishwa na hapo awali. Kulingana na wachuuzi wa nazi kutoka soko...
Wafanyabiashara katika soko la Mariakani kaunti ya Kilifi wamelalamikia visa vya wizi wa mali zao unaotekelezwa ndani ya soko hilo. Walidai kuendelea kukadiria hasara kutokana na...
Marekani imetangaza vikwazo vipya vya kibiashara kwa bidhaa hasa kwa zaidi ya mataifa 90 baada ya kukamilika kwa makataa ya tarehe 1 Agosti ya kuandikisha mikataba...
Wadau wa sekta ya Utalii eneo la Watamu kaunti ya Kilifi wameunga mkono pendekezo la shirika la huduma kwa wanyamapori nchini KWS la kutathmini upya ada...
Wakaazi wa mji wa Malindi kaunti ya Kilifi wanaishi kwa hofu ya mkurupuko wa magonjwa baada ya kulalamikia kuuziwa nyama ya mifugo ambayo haijakaguliwa na maafisa...
Wafanyibiashara wa kuuza sare za shule mjini Kilifi wamesema kuwa biashara hiyo iko chini msimu huu ikilinganishwa na wakati ambapo wanafunzi wakifungua shule mwezi wa kwanza....
Ukosefu wa viwanda katika kaunti ya Kilifi umetajwa kuzorotesha uchumi wa kaunti hiyo. Kulingana na wafanyibiashara mjini Kilifi kaunti ya Kilifi, biashara zimezorota kutokana na uhaba...