Mwanamuziki Bien-Aimé Baraza ameibuka kwa msimamo mkali kupinga tabia ya kuwalinganisha wasanii, baada ya watangazaji wa redio nchini Tanzania kulinganisha wimbo wake mpya “Finale” aliomshirikisha Alikiba...
Msanii maarufu wa Bongo Fleva Ali Kiba ameibua mjadala mkali mitandaoni baada ya kuweka wazi msimamo wake kuhusu promosheni ya wimbo mpya Finale. Tofauti na ilivyozoeleka...
Msanii wa Kenya Willy Paul amezua mjadala mpya mitandaoni baada ya kudokeza uwezekano wa kurejea katika muziki wa injili. Kupitia ujumbe aliouchapisha kwenye mitandao ya kijamii,...
Mwishoni mwa juma, tarehe 10 na 11 mwezi Januari 2025 Kenya ilijawa na hisia kinzani kuhusiana na ujio wa mwanamitandao kwa jina Ishow speed. Mitandao ya...
Msanii wa bango, Bavyombo, amezua gumzo kubwa kwenye mitandao ya kijamii baada ya kutangaza marufuku ya matumizi ya kauli maarufu “Mama Amina” ndani ya bendi yake...
Wakili na mwanasiasa, George Kithi, hatimaye ameweka mambo wazi kuhusu madai yaliyokuwa yakisambaa kwamba alikuwa nyuma ya mpango wa kumleta msanii maarufu wa Tanzania, Zuchu, kutumbuiza...
Binti wa aliyekuwa gavana wa kaunti ya Nairobi Mike Sonko, Saumu Mbuvi, ameeleza wazi kuwa ndoa si kipaumbele tena maishani mwake, hasa baada ya sakata la...