Mojawapo ya sauti kubwa zaidi nyuma ya mafanikio ya muziki wa wasanii wengi Kenya, Producer lejendari J-Crack, amezungumza na Coco FM kuhusiana na posti ya Susumila...
Rapa maarufu duniani, Cardi B, mwenye umri wa miaka 32, ametangaza kuwa anatarajia mtoto wake wa nne, na huyu atakuwa wa kwanza na mpenzi wake mpya,...
Emillianah, muunda maudhui maarufu Kenya, amekuja hadharani na kuthibitisha kuwa hana uhusiano wa kimapenzi na mchekeshaji na muunda maudhui, Mulamwah, akimaliza uvumi uliokuwa ukizunguka kuhusu uhusiano...
Mwanamuziki mashuhuri wa Congo (DRC) Mbila Bel, anaendelea kupata matibabu katika Hospitali Moja Mjini Kinshasa, baada ya Gari alimokuwa akisafiria kuhusika kwenye ajali ya barabarani Septemba...
Mmiliki wa Crack Sound Records, J Crack, amepata pigo kubwa baada ya studio yake kuvamiwa na wezi walioiba vyombo vyake vya studio. Akizungumza na kipindi cha...
Mwanamitindo na mtangazaji maarufu kutoka Tanzania, Paula Kajala, hatimaye amevunja ukimya na kueleza sababu za kuachana na msanii nyota Rayvanny. Katika mahojiano ya wazi, Paula alifichua...
Mwanahabari na mke wa Presenter Kai, Diana Yegon, ameibua gumzo mtandaoni baada ya kuandika ujumbe wa ucheshi uliolenga wanawake wote wanaoitwa Diana. Kupitia ukurasa wake wa...
Mwanamuziki wa Kenya, Diana Marua, maarufu kama Diana B, amewataka mashabiki wake kuacha wivu na kushirikiana katika kuusukuma wimbo wake mpya Bibi ya Tajiri hadi kufikisha...
Msanii maarufu wa Kenya, Arrow Bwoy, amezua gumzo mtandaoni baada ya kumualika wazi wazi mfanyabiashara kutoka Uganda, Shakib Cham, kwenye pambano la ndondi. Hii imekuja baada...
Mashindano ya CHAN 2024 yakielekea ukingoni, mashabiki wanatarajiwa kupata burudani ya aina yake kutoka kwa baadhi ya nyota wakubwa wa muziki Afrika Mashariki. Kenya, Uganda na...