Msanii nguli kutoka Tanzania, Zuchu, anatarajiwa kutumbuiza kwenye mechi ya Fainali ya CHAN 2024 Jumamosi, Agosti 30, 2025 jijini Nairobi. Kupitia mitandao yake ya kijamii, Zuchu...
Kwa zaidi ya miaka 45, Gould David alikuwa uso wa imani ya Kikristo nchini Australia. Akiwa padri wa Kanisa, alihubiri, aliongoza ibada, na akahudumia maelfu ya...
Mchekeshaji aliyegeuka kuwa mwanaharakati, Eric Omondi, amefichua njama ya mwanamke aliyedai kutimuliwa na mumewe ili kuomba msaada wa kifedha kutoka kwa wahisani. Mapema wiki hii, video...
Davido, mmoja wa wanamuziki wakubwa wa Nigeria, ameonesha wazi kwamba furaha na mapenzi kwake hayawekewi kikomo cha fedha. Usiku wa kuamkia leo, msanii huyo alishangaza na kufurahisha...
Msanii wa hip hop kutoka Tanzania anayeishi Marekani, Roma Mkatoliki, amevunja kimya kuhusu kile alichokitaja kuwa dhana potofu inayoambatanishwa na muziki wa hip hop. Kupitia mitandao...
Muunda maudhui maarufu Pwani, Nyevu Fondo, amefunguka sababu zake za kukataa pesa za mchango wa matibabu zilizochangishwa na Presenter Jakki. Presenter Jakki, bila kumjulisha Nyevu, alianzisha...
Binti wa mwigizaji mashuhuri wa Nollywood, Iyabo Ojo, ambaye ni Priscilla Ojo, na mumewe, nyota wa muziki kutoka Tanzania Juma Jux, wametangaza kuwa wanatarajia mtoto wao...
Msanii nguli wa muziki Afrika Mashariki, Kaa la Moto, amekingia kifua kauli ya msanii mwenzake Kelechi Africana aliyedai kuwa “kinachowafelisha wanamuziki wa Mombasa ni ukahaba.” Akizungumza...
Msanii nyota wa Marekani, Chris Brown, amekana mashtaka mawili mahakamani yanayohusiana na madai ya shambulio kwa kutumia chupa katika kilabu cha usiku jijini London miaka miwili...
Msanii nyota wa muziki wa kimataifa, Justin Bieber, hatimaye ameachia rasmi albamu yake mpya na ya saba kwa jina “Swag”, ikiwa ni albamu yake ya kwanza...