Tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC inanuia kuongeza vituo vya kupigia kura hadi 55,393 katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2027 kutoka vituo 46,229 mwaka...
Mahakama ya Kilifi inatarajiwa kutoa hukumu ya kesi ya uharibifi wa msitu wa Arabuko Sokoke inayomkabili mwanaume wa umri wa miaka 53. Katika kesi hiyo, mshukiwa...
Serikali imesema imeanzisha mikakati maalum ya kuwanusuru Wakenya wanaodaiwa kulaghaiwa na mawakala bandia na kujiunga na jeshi la Urusi kupigana vita dhidi ya Ukraine. Katibu wa...
Jaji mkuu mstaafu David Maraga ameishtumu serikali ya kitaifa kwa kuendeleza ufisadi kupitia miradi hewa nchini. Akizungumza wakati wa mikutano yake ya kisiasa katika kaunti ya...
Mahakama Kuu imekataa kutoa amri ya muda yani Conservatory Order ili kuzuia mpango wa ubinafsishaji wa taasisi za umma ikiwemo Shirika la Kenya Pipeline kufuatia ombi...
Kesi ya ulaghai wa shilingi milioni 1.2 inayomkabili mshukiwa Emmanuel Kithi imewasilishwa katika Mahakama ya Kilifi. Mshukiwa Emmanuel Kithi anadaiwa kumlaghai mlalamishi Moses Mwafondo kwa kumuahidi...
Tume ya maadili na kupambana na ufisadi nchini EACC imefanikiwa kurejesha mali ya umma yenye thamani ya shilingi milioni 281 katika kaunti ya Mombasa. Katika taarifa...
Naibu Kinara wa Chama cha Jubilee Dkt Fred Matiangi ameitaka serikali kuwajibika kikamilifu kwa kuhakikisha taifa linazingatia usalama wa wananchi. Matiangi alisema jinsi hali ilivyo kwa...
Kesi ya mauaji bila kukusudia inayomhusisha Mhubiri tata Paul Mackenzie na wenzake imechukua mkondo mpya baada ya mmoja wa washtakiwa kuingia katika makubaliano ya kukiri makosa...
Kamati ya elimu katika bunge la kitaifa limekashfu vikali hatua ya Katibu katika Wizara ya elimu nchini Julius Bitok, kushindwa kufika mbele ya Kamati hiyo kujadili...