Wabunge wanaoegemea mrengo wa Kenya Kwanza wameapa kuidhinisha orodha ya makamishna pamoja na Mweneyekiti wa Tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC punde tu itakapowasilishwa...
Katibu mkuu wa Chama cha kutetea maslahi ya walimu nchini (KNUT) Collins Oyuu ameitaka serikali kuu kuharakisha mchakato wa kusambaza fedha za kufadhili masomo shuleni. Oyuu...
Serikali ya kaunti ya Kilifi imewaonya watu wanaoishi karibu na Timbo iliyoporomoka jana na kusababisha maafa kutoingia katika timbo hilo ili kudhibiti visa vya watu kufariki....
Mwenyekiti wa mamlaka ya kitaifa ya uchukuzi na usalama barabarani nchini, NTSA Khateeb Mwashetani amesema wamerudisha huduma za utoaji wa nambari za usajili wa magari baada ya...
Mwenyekiti wa muungano wa wahudumu wa maboti kaunti ya Kilifi Shallo Issa maarufu captain Shallo amesema kuwa mapato ya wavuvi msimu huu yameongezeka ikilinganishwa na hapo...
Miamba wa Uingereza kilabu ya Manchester United imetinga kwenye fainali ya Europa ligi msimu huu kishindo bila kupoteza hata mechi moja. Haya yanajiri baada ya vijana...
Rais William Ruto amemteua Erastus Edung Ethekon kuwa Mwenyekiti wa Tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC na makamishna 6 wa tume hiyo ili kufanikisha...
Kadinali Robert Francis Prevost kutoka taifa la Marekani ndiye Papa mpya aliyechaguliwa kuongoza Kanisa Katoliki kote duniani. Kadinali Prevost amechagua jina la Papa Leo XIV. Papa...
Uefa Kilabu ya PSG ya Ufaransa kucheza dhidi ya Inter ya Italia kwenye fainali ya uefa baada ya kunyamazisha kabla ya kuzimisha kilabu ya Arsenal kipigo...
Mzee wa Kaya na pia mchungaji wa dini ya jadi maarufu Gohu, kwenye muungano wa kitamaduni wa MADCA kaunti ya Kilifi Edward Kazungu maarufu kama Kazungu...