MAHAKAMANI- Mahakama ya Kilifi imemhukumu kifungo cha miaka 13 gerezani mwanamume wa umri wa makamu baada ya kupatikana na hatia ya kumnajisi mtoto wa umri wa...
Gavana wa kaunti ya Kwale Fatuma Achani amefungua rasmi upanuzi wa bomba la Moyeni-Kwa Lukongo eneo bunge la Kinango lenye urefu wa kilomita 2 ambalo litasaidia...
Debi la mashemeji kati ya mahasimu wa tangu jadi kilabu ya Gor Mahia na Afc leopards siku ya jumapili kuendelea kama ilivyopangwa haya ni kwa mujibu...
Miamba wa Italia kilabu ya Inter Milan imekua ya kwanza kutinga awamu ya fainali kilabu bingwa Ulaya baada ya kunyuka FC Barcelona kichapo cha magoli 4-3...
Waziri wa Usalama wa ndani Kipchumba Murkomen, anazuru kaunti za Meru, Tharaka Nithi, na Embu, kutathmini hali ya usalama. Murkomen ambaye kwa sasa y uko kwenye...
Kanisa Katoliki Jimbo kuu la Nairobi limetangaza kwamba John Kadinali Njue, hatashiriki Kongamano la kumchagua Papa mpya wa Kanisa Katoliki duniani. Katika taarifa rasmi iliyotolewa na...
Mkufunzi wa kilabu ya Inter Milan ya Italia Simeone Inzaghi amesema kwamba mechi ya leo kati yao na Fc Barcelona ni kufa kupona wakilenga tiketi ya...
Mabingwa mara 21 ligi kuu humu nchini kilabu ya Gor Mahia imeilaumu shirikisho la soka nchini FKF pamoja na kamati inayosimamia ratiba ya mechi za ligi...
Beki wa taifa la Uingereza Alexander Trent Arnold ametangaza kugura kilabu ya Liverpool baada ya msimu huu kukamilika. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 26 ametangaza...
Mwanamume mmoja amefikishwa katika Mahakama ya Kilifi kwa kosa la kumpiga na kumjeruhi mwanamke kwa kisingizio cha uchawi. Mahakama imearifiwa kwamba mnamo tarehe 6 mwezi Disemba...