Waziri wa Usalama wa ndani Kipchumba Murkomen amelaani vikali tukio la kuvurugwa kwa ibada ya Jumapili katika Kanisa la ACK, Witima eneo la Othaya, kaunti ya...
Rais William Ruto amemteua mke wa Hayati Raila Odinga, Mama Ida Odinga kuwa Balozi na Mwakilishi wa kudumu wa Kenya katika Shirika la Mazingira la Umoja...
Mbunge wa Kiharu Ndindi Nyoro amesisitiza umuhimu wa serikali kuweka mikakati thabiti itakayohakikisha elimu katika shule za upili za kutwa inatolewa bila malipo. Akizungumza jijini Mombasa,...
Wanafunzi wa gredi ya kumi wanatarajiwa kuanza rasmi masomo yao wiki ijayo kufuatia kusambazwa kwa vitabu kwa shule za sekondari ya juu kote nchini. Taasisi ya...
Familia za wakenya waliokwama nchini Urusi zinaendelea kulilia serikali kuingilia kati kuwarejeshwa jamaa zao nyumbani. Baadhi ya wakenya hao wanaripotiwa kuzuiliwa kama wafungwa wa vita na...
Serikali ya Kenya na Rwanda zimesaini mkataba wa makubaliano (MoU) unaolenga kuanza rasmi utekelezaji wa ofisi ya uhusiano ya halmashauri ya bandari nchini (KPA) jijini Kigali,...
Mahakama ya kuu jijini Nairobi imesikiliza kesi ya ufisadi inayomkabili aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya kitaifa ya Ardhi (NLC), Prof Mohammad Swazuri, pamoja na washukiwa wengine...
Rais William Ruto amewaagiza wanafunzi wote wa gredi ya 10 ambao hawana karo ama sare za shule kuhakikisha wanaripoti shuleni kuanzia hapo kesho siku ya Ijumaa....
Watu saba wanazuiliwa na maafisa wa polisi katika eneo la Rabai kaunti ya Kilifi baada ya kukamatwa kwa madai ya kufanya uchawi katika kijiji cha Buni,...
Mbunge wa Kilifi Kaskazini Owen Baya amesema kunahaja ya serikali kuu kuhusisha maoni ya umma katika suala la raslimali za madini kabla ya kuruhusu waekezaji kuanza...