Waziri wa elimu nchini Migos Ogamba ameonya wakuu wa shule wanaolazimisha wazazi kununua sare katika maduka maalum. Waziri Ogamba alisema hali hiyo inakiuka kaununi zilizowekwa na...
Serikali imehakikishia wakaazi wa kaunti 23 nchini ambazo zinakabiliwa na makali ya ukame kwamba inachakula cha kutosha cha kuwawezesha kukabiliana na makali ya njaa. Akizungumza katika...
Mbunge wa Embakasi Mashariki Babu Owino amekosoa uongozi wa Kinara wa Chama cha ODM Dkt Oburu Oginga na kumtaka kuukabidhi uongozi wa Chama hicho kwake. Owino...
Serikali kuu imesema imefikia asilimia 70 ya wanafunzi wanaojiunga na shule za gredi ya 10 kote nchini ili kuhakikisha hakuna wanafunzi anasilia nyumbani. Waziri wa usalama...
Maafisa wa usalama mjini Malindi kaunti ya Kilifi wamewakamata washukiwa 18 kwenye msako uliolenga magenge ya kihalifu yaliyokuwa yakiwahangaisha wakaazi wa eneo hilo. Oparesheni hiyo ilifanyika...
Mamlaka ya Kitaifa ya Usafiri na Usalama barabarani, NTSA, imetoa tahadhari ya kiusalama ikiwataka madereva na watumiaji wengine wa barabara kuwa waangalifu kutokana na mvua kubwa...
Waziri wa usalama wa ndani Kipchumba Murkomen amewataka machifu na manaibu wao kuongeza juhudi katika vita dhidi ya pombe haramu na matumizi ya dawa za kulevya. Waziri...
Mkurugenzi mkuu wa halmashauri ya bandari nchini, nahodha William Ruto, ameibua matumaini mapya kuhusu uboreshaji wa Bandari ya Mombasa baada ya kutangaza hatua mbalimbali za kisasa...
Mashirika ya kijamii eneo la Pwani yameingia katika mkataba wa makubaliano wa miaka 3 na kamati ya uwajibikaji Mombasa (MAC) unaolenga kuimarisha uwajibikaji, uwazi, na utetezi...
Serikali ya Marekani imetoa orodha ya wakenya 15 ambao watafurushwa nchini humo. Wakenya hawa ni wale waliokabiliwa na kesi mbalimbali ikiwemo wizi wa mabavu, ulanguzi wa...