Wakulima katika eneo la malindi kaunti ya Kilifi wanaiomba serikali ya kaunti kuajiri madaktari zaidi wa mifugo ili kuboresha sekta ya ufugaji kwani wafugaji wa mashinani...
Sekta ya uchukuzi huenda ikaathirika hata zaidi baada ya mamlaka ya kudhibiti kawi nchini kuongeza bei ya mafuta ya petrol , disel na mafuta ya taa....
Wafanyibiashara mjini kilifi kaunti ya kilifi wanasema kuwa biashara mbalimbali zimedorora kutokana na ongezeko la idadi ya wachuuzi ambao wanachuuza kando kando mwa barabara kila mahali....
Serikali kuu imetenga shilingi bilioni 4.5 kusaidia vyama vya ushirika, akiba na mikopo ili kuimarisha kilimo humu nchini. Akizungumza na vyombo vya habari mkuu wa mawaziri...
Msanii nyota wa Marekani, Chris Brown, amekana mashtaka mawili mahakamani yanayohusiana na madai ya shambulio kwa kutumia chupa katika kilabu cha usiku jijini London miaka miwili...
Msanii nyota wa muziki wa kimataifa, Justin Bieber, hatimaye ameachia rasmi albamu yake mpya na ya saba kwa jina “Swag”, ikiwa ni albamu yake ya kwanza...
Biashara ya kuuza matikiti maji mjini malindi kaunti ya kilifi imedorora msimu huu wa mvua ikilinganishwa na wakati wa kiangazi. Kulingana na Edward Hinzano mchuuzi wa...
Wiki iliyopita, Combs alipatikana na hatia kwa makosa mawili ya usafirishaji kwenda kufanya ukahaba baada ya kesi ya wiki nane. Anakabiliwa na kifungo cha hadi miaka...
Nyota wa muziki nchini Tanzania Juma Jux amekanusha taarifa zinazoenea kuwa alichukua mkopo wa Sh25 milioni (Tsh500 milioni) ili kugharamia sherehe za harusi yake. Mwimbaji huyo...
Wakili na mwanasiasa maarufu kutoka Kilifi, George Kithi, ameweka wazi azma yake ya kuendelea kukuza sekta ya muziki na ubunifu katika ukanda wa Pwani ya Kenya...