Maafisa wa upelelezi eneo la Nyali, kaunti ya Mombasa, wamemkamata mwanamke anayedaiwa kupanga njama ya wizi dhidi ya mpenzi wake raia wa uingereza baada ya kumwalika...
Baada ya kushuhudiwa vurugu na uharibifu wa mali ya shule katika Shule ya upili ya wavulana ya Malindi, hali imerejea kama kawaida na wanafunzi wa kidato...
Mamlaka ya ukusanyaji ushuru nchini (KRA) kwa ushirikiano idara ya usalama imekamata shehena ya sigara haramu milioni 9.5 katika bandari ya Mombasa zilizokuwa zimefichwa ndani ya...
Rais wa Tanzania Samia Suluhu sasa ametaka mazungumzo na upinzani wa taifa hilo baada ya uchaguzi uliokumbwa na utata na ghasia. Wito huu ukitolewa siku moja...
Serikali ya kaunti ya Mombasa imeshinikizwa kuheshimiana na bunge la Kaunti hiyo katika utendakazi wao, kwani malumbano kati yao yanaweza kuathiri utekelezaji wa miradi ya maendeleo...
Hatimaye wanaharakati Bob Njagi na Nicholas Oyoo wameachiliwa huru, siku 38 baada ya kutekwa nyara nchini Uganda wakisema walizuiliwa na jeshi la nchi hiyo kwa muda...
Idara ya mahakama katika kaunti ya Kilifi imesema imerekodi kesi 90 za visa vya dhulma dhidi ya watoto mwaka wa 2025 pekee katika huku kesi 46...
Watu 6 zaidi wamekamatwa na maafisa wa idara ya upelelezi wa jinai nchini DCI Kwa kuhusika na wizi wa mitihani ya kitaifa ya KCSE katika maeneo...
Chama cha walimu wa shule za upili na vyuo vya kadri nchini, KUPPET, kimeitaka Tume ya huduma ya walimu nchini (TSC) kuwaajiri walimu wanagenzi hasa wale...
Viongozi wa Muungano wa Wahadhiri wa vyuo vikuu nchini UASU na wale wa Wafanyikazi wa vyuo vikuu KUSU wamekubaliana kusitisha mgomo wao uliyodumu kwa takriban siku...