Waziri wa Elimu nchini Julius Migos Ogamba amevitaka vyuo vikuu nchini kuanza maandalizi ya mapema kwa ajili ya kupokea wanafunzi watakaohitimu chini ya mtaala wa CBE,...
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya kitaifa ya ardhi Dkt Mohammed Swazur pamoja na wenzake 13 wanatarajiwa kufikishwa Mahakamani siku ya Jumatano tarehe 4 mwezi Machi mwaka...
Mahakama ya Kilifi imeagiza kukamatwa kwa washukiwa watatu akiwemo Wakili Devison Liano Kazungu, ambaye amekuwa akihudumu bila vibali halali pamoja Karani wake Hersi Mathius Kahindi na Lawrence...
Uchunguzi wa ajali ya ndege aina ya Helkopta iliyowaua watu sita akiwemo Mbunge wa Emurua Dikirr Johana Ng’eno umeanza rasmi huku wachunguzi wakifika katika eneo la...
Inspekta Jenerali wa Polisi nchini Douglas Kanja amesema uchunguzi unaendelea ili kuwatambua mawakala matapeli waliowahadaa wakenya kujiunga na jeshi la Urusi kupigana vita dhidi ya Ukraine....
Serikali imetahadharisha wakenya kuwa makini hasa wanapoahidiwa ajira katika mataifa ya ughaibuni ili kuepuka kulaghaiwa au kujikuta katika hali hatarishi. Katibu katika Wizara ya Leba nchini...
Mkurugenzi mkuu wa mashtaka ya umma, DPP, amefunga rasmi kesi ya nne na ya mwisho inayohusiana na mauaji ya halaiki ya watu katika msitu wa Shakahola,...
Idara ya usalama nchini imethibitisha kwamba baadhi ya mikutano ya kisiasa inayoandaliwa nchini, wahusika wamekuwa wakikosa kuwaarifu maafisa wa usalama. Msemaji wa idara ya polisi nchini...
Tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC, imepiga marufuku matumizi ya simu za rununu kwenye eneo maalum la upigaji kura wakati wa zoezi la uchaguzi....
Tume ya huduma za Mahakama nchini JSC imetangaza kupokea maombi ya wakenya wanaotaka kujaza nafasi iliyowachwa wazi ya Jaji wa Mahakama ya Upeo Mohammed Ibrahim. Katika...