Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa chama cha upinzani nchini Tanzania CHADEMA, Tundu Lissu, imezuiwa kurushwa mubashara au kuchapishwa taarifa za ushahidi baada ya Mahakama kutoa...
Rais William Samoei Ruto pamoja na Kinara wa chama cha ODM Raila Odinga wameongoza kikao cha pamoja cha wabunge wa chama ODM na UDA katika eneo...
Kamati ya habari na mawasiliano bungeni ikiongozwa na mwenyekiti Wahome Wamatinga imefanya ziara yake katika uwanja wa maonyesho ya kilimo eneo la Nyali kaunti ya Mombasa....
Gavana wa kaunti ya Kericho Eric Mutai amebanduliwa mamlakani kupitia hoja ya kutokuwa na Imani naye. Jumla ya Wawakilishi wadi 33 kati ya 47 wa bunge...
Rais William Ruto amefanya uteuzi mpya na kumteua Claris Awour Onganga kuwa Mwenyekiti wa Tume ya kitaifa ya kutetea haki za kibinadamu KNCHR. Onganga anachukua nafasi...
Mwanasayansi na mkurugenzi mkuu wa shirika la kaungazia masuala ya Ndovu Jim Justus Nyamu pamoja na wanaharakati wa masuala ya wanyamapori wametoa wito kwa serikali pamoja...
Naibu gavana wa kaunti ya Taita Taveta Christine Kilalo amewataka wenyeji kuimarisha mazingira kwa kudhibiti utupaji wa taka kiholela hasa katika maeneo ya Taveta na Voi....
Utafiti uliyofanywa na kampuni ya Timely Kenya kuhusu uongozi na uwajibikaji wa serikali za kaunti umewaorodhesha baadhi ya magavana kama viongozi wachapa kazi. Utafiti huo umemuorodhesha...
Mamia ya wauguzi kaunti ya Kilifi wamegoma na kufanya maandamano katikati mwa mji wa Kilifi. Wauguzi hao wanalilia haki yao ikiwemo mishahara pamoja na kurejeshwa kazini...
Bandari ya Lamu inazidi kujipatia umaarufu kama kitega uchumi kipya kwenye uchumi wa baharini kaunti ya Lamu lakini pia katika ukanda wa Afrika mashariki. Meneja mkuu...