Wakenya walio kwenye hatari ya kuambukizwa virusi vya HIV huenda wakaanza kupokea shindano mpya ya kudhibiti maambukizi kufikia januari mwakani. Hii ni baada ya shirika la...
Wanajeshi watatu wa Kenya wameuawa, huku wengine saba wakiwachwa na majeraha mabaya mwilini, baada ya gari walimokuwa wakisafiria kukanyanga kilipuzi eneo la Badaah, kaunti ya Lamu....
Baadhi ya wakaazi kutoka kaunti ya Mombasa wamepinga matamshi ya Rais William Ruto kuwa viongozi wa kidini wamekuwa mstari wa mbele kuwachochea vijana dhidi ya serikali...
Katibu Mkuu wa Muungano wa walimu wakuu wa shule za upili nchini KESSHA Abdinoor Haji ameonya kuhusu uwezekano wa shule kufungwa mapema iwapo pesa za kugharimia...
Huenda wakenya wakagharamika zaidi katika kumudu gharama ya maisha kutokana na ongezeko la bei ya mafuta ya Petroli, Dizeli na Taa mtawalia. Hii ni kutokana na...
Mbunge wa Ganze kaunti ya Kilifi Kenneth Tungule amesema wanafunzi wengi katika eneo bunge hilo hawafanyi vyema masomoni kutokana na hali ya umasikini na njaa. Tungule...
Taifa sasa linajiandaa kwa chaguzi ndogo hasa baada ya kuapishwa kwa mwenyekiti na makamishna wapya sita wa tume ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC hivi majuzi....
Mashirika ya kutetea haki za kibinadamu kaunti ya Mombasa yamepinga mchakato wa mazungumzo ya kitaifa yakisema matatizo yanayowakumba wakenya tayari yanajulikana. Wanaharakati hao wakiongozwa na mkurugenzi...
Chama cha Walimu wa shule za upili na vyuo vya kadri nchini KUPPET, kimeionya Tume ya uajiri walimu nchini TSC dhidi ya kuwasilisha pendekezo lipya linalokinzana...
Wadau wa amani katika kaunti ya Kilifi wameishinikiza jamii kuzingatia amani na uwiano. Wakiongozwa na Harold Mwatua ambaye ni Mwenyekiti wa kamati ya amani katika kaunti...