Wahudumu wa boda boda huko Mariakani eneo bunge la Kaloleni kaunti ya Kilifi wanatilia shaka ongezeko la watu wanaojifanya wanabodaboda ilihali watekeleza visa vya uhalifu eneo...
Chama cha mawakili nchini LSK kinamtaka Inspakta jenerali wa Polisi nchini Douglas Kanja kuhakikisha kuna uwazi kufuatia kifo tatanishi cha mwanablogu Albert Ojwang’. Akihutubia Wanahabari siku...
Seneta mteule Miraj Abdillahi amewasihi wakaazi wa kaunti ya Mombasa kujisajili katika bima ya Afya ya jamii SHA. Akizungumza katika eneo bunge la Mvita, Miraj alisema...
Rais William Ruto amesema lengo kuu la serikali ya Kenya kwanza ni kuhakikisha wakenya wananufaika kimaendeleo na wala sio siasa za vurugu na migawanyiko. Rais Ruto...
Naibu Katibu mkuu wa Chama cha kutetea maslahi ya walimu nchini KNUT Hesbon Otieno aliitaka Tume ya kuajiri walimu nchini TSC kuyapa kipau mbele mazungumzo ya...
Viongozi wa Upinzani wakiongozwa na kinara wa chama cha Wiper, Kalonzo Musyoka, wamepaza sauti kupinga ujenzi wa kinu cha Nuklia katika eneo la Uyombo wadi ya...
Uongozi wa chama cha DCP unashinikiza wakenya kupinga mswada wa fedha wa mwaka 2025 ukidai una vipengee tata vitakavyoongeza mzigo wa ushuru kwa wakenya. Kulingana na...
Licha ya Bandari ya Mombasa kuendelea kurekodi matokeo bora katika utendakazi wake,mamlaka ya bandari nchini (KPA) imebainisha kwamba bado kuna changamoto zinazolemaza shughuli zake. Akizungumza katika...
Viongozi wa upinzani nchini wakiongozwa na Kinara wa Chama cha Wiper Kalonzo Musyoka na aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua waliendeleza kampeni za Wantam dhidi ya rais...
Waziri wa Madini na Uchumi wa raslimali za bahari Ali Hassan Joho, aliwahimiza wakenya kujisajili katika mpango wa “Boma Yangu” ili kunufaika na nyumba za bei...