Gavana wa kaunti ya Kwale Fatuma Achani amesema kaunti ya Kwale imepiga hatua katika kuimarisha sekta ya uvuvi na uchumi samawati. Gavana Achani ameihimiza serikali ya...
Wazazi na walimu kaunti ya Kwale wameshinikiza kuhimiza wanafunzi kujiunga zaidi na kundi la maskauti kutokana na idadi ndogo ya maskauti kaunti hiyo. Akizungumza wakati wa...
Maafisa wa usalama eneo la pwani wanasema wamewakamata wanaume 9 wa umri kati ya miaka 26 hadi 30 kwa tuhuma za wizi eneo la Mtwapa kaunti...
Bunge la kitaifa limeanza kuwapiga msasa makamishena wateule 7 wa tume ya Uchaguzi na mipaka, IEBC katika majengo ya Bunge. Shughuli hiyo imeanza leo Jumamosi Mei...
Beki wa kilabu ya Bayern Leverkusen Jeremie Frimpong ni rasmi amejiunga na mabingwa wa ligi kuu Uingereza Liverpool. Beki huyo mholanzi amejiunga na The Reds kwa...
Shughuli za masomo katika shule ya msingi ya Arabuko Sokoke eneo la Kakuyuni kaunti ya Kilifi zilitatizika mapema siku ya Ijumaa baada ya Wazazi kuandamana wakilalamikia...
Idara ya afya eneo bunge la Malindi kaunti ya kilifi imeripoti ongezeka la visa vya tatizo la ukosefu wa nguvu za kiume miongoni mwa wanaume katika...
Mbunge wa Kilifi Kaskazini kaunti ya Kilifi Owen Baya ametoa wito kwa wenyeji wa kaunti ya Kilifi ambao wana watoto walio na uatilifu kujitokeza kuchukua basari...
Bunge la kitaifa, Jumamosi, Mei 31 linatarajiwa kuanza kuwapiga msasa mwenyekiti na makamishna wa tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC. Ni shughuli iliyoratibiwa kufanyika...
Kiongozi wa Chama cha People’s Liberation Party, PLP nchini Kenya Martha Karua, aliwasili nchini Uganda katika juhudi za kumuakilisha Kiongozi wa upinzani nchini Uganda Kizza Bessigye...