Kesi dhidi ya mhubiri tata Paul Mackenzie na washukiwa wenzake 38 kuhusu ukatili na ukiukaji wa haki za watoto inaendelea kusikizwa katika mahakama ya watoto ya...
Mafisa kutoka kituo cha polisi cha Vijiweni eneo la Likoni kaunti ya Mombasa, usiku wa kuamkia leo wamewakamata wanaume watatu wanaoshukiwa kuwa wahalifu katika maeneo ya...
Waziri wa Leba nchini Dakta Alfred Mutua amewaonya vijana waliopata nafasi za ajira ughaibuni dhidi ya kujihusisha na visa vya utovu wa nidhamu. Akizungumza wakati wa...
Mapigano mapya yamezuka mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo baada ya Waasi wa kundi la M23 kufutilia mbali pendekezo la ahadi za hapo awali za...
Mahakama kuu imeagiza kutoapishwa na kuchapishwa katika gazeti rasmi la serikali majina ya Makamishna wapya wa Tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC. Jaji wa...
Mahakama ya Ardhi na Mazingira mjini Malindi imeahirisha uamuzi wa kesi ya kupinga mradi wa Kawi ya Mawe katika kisiwa cha Amu kaunti ya Lamu. Mahakama...
Gavana wa kaunti ya Tana River Dhado Godhana amezitaka jamii za wakulima na wafugaji kuzika tofauti zao na kuishi kwa Amani na umoja ili kufungua fursa...
Wakaazi wa kaunti ya Lamu kwa ushirikiano na Shirika la kijamii la Save Lamu wamefanya maandamano ya amani kupinga mradi wa uzalishaji wa Kawi ya Mawe...
Kesi dhidi ya mhubiri tata Paul Mackenzie na washukiwa wenzake 38 kuhusu ukatili na ukiukaji wa haki za watoto inaendelea kusikizwa katika mahakama ya watoto ya...
Mwandishi nguli wa vitabu vya tamthilia Ngugi wa Thiong’o ameaga dunia akiwa na umri wa miaka 87. Familia imethibitisha kifo chake kilichotokea siku ya Jumatano Mei...