Waziri wa usalama wa kitaifa Kipchumba Murkomen amesema machifu watano wa kaunti ya Mandera waliotekwa nyara na wanamgambo wa alshabab mnamo mwezi Februari, 2025 na kuachiliwa...
Wafanyibiashara humu nchini wanaendelea kulalamikia kudorora kwa uchumi siku chache tu baada ya rais Wiliam Ruto kusema kuwa uchumi wan chi umeimarika. Wakizungumza mjini Kilifi kaunti...
Waziri wa Kilimo, Mutahi Kagwe, amesisitiza umuhimu wa wakulima nchini kukumbatia teknolojia ya kisasa katika shughuli zao za ufugaji, akisema kuwa hiyo ndiyo njia bora ya...
Mabingwa wa Dunia Faith Kipyegon, Beatrice Chebet, Lillian Odira na Emmanuel Wanyonyi wamerejea nyumbani leo kutoka Tokyo, Japan, walikoshiriki mashindano ya Riadha Duniani. Familia, ndugu, jamaa...
Rais wa Uganda Yoweri Museveni mwenye umri wa miaka 81 ameidhinishwa na tume ya uchaguzi ya nchi hiyo kugombea nafasi ya urais katika uchaguzi mkuu wa...
Rais wa Botswana Duma Boko ametangaza Septemba 29 mwaka huu kuwa siku ya mapumziko kusherehekea ushindi wa dhahabu ya Dunia na timu ya wanariadha wanne kupokezana...
Miamba wa soka wa Tanzania, klabu ya Simba, wameafikiana kuachana na kocha mkuu Fadlu Davids baada ya kuhudumu kwa mmoja pekee. Kulingana na taarifa kwa umma,...
Shuguli za masomo zimeendelea kutatizika kwa siku ya saba sasa katika vyuo vikuu vya umma kote nchini kutokana na mgomo wa wahadhiri wa vyuo vikuu uliaonza...
Mbunge wa Kilifi Kaskazini kaunti ya Kilifi Owen Baya amesema kuwa uskwota umekithiri mno katika ukanda wa Pwani. Katika mazungumzo ya kipekee na Meza yetu ya...
Katibu mkuu wa Chama cha UDA Hassan Omar Sarai, imemkosoa Waziri wa usalama wa ndani Kipchumba Murkomen kutokana na kuchapisha katika gazeti rasmi la serikali kundi...