Mwanamuziki maarufu wa Dancehall, Vybz Kartel, amesisimua mashabiki mtandaoni baada ya kujibu comment kwa lugha ya Kiswahili. Msanii huyu kutoka Jamaica, anayejulikana pia kama World Boss,...
Wavuvi wa eneo la Pwani wameitaka serikali kuu na zile za kaunti kuwatafutia masoko ya kimataifa kwa ajili ya bidhaa zao za samaki. Wavuvi hao walisema licha...
Utafiti wa udhibiti wa sekta ya fedha humu nchini uliotolewa na benki kuu ya Kenya unaonyesha kuwa uwekaji mifumo ya kifedha mitandaoni inachangia kwa mchipuko wa...
Mshambuliaji wa Ufaransa, Ousmane Dembele, ameshinda tuzo ya Ballon d’Or ya wanaume katika sherehe iliyofanyika jijini Paris Jumatatu, tuzo kubwa zaidi ya heshima binafsi katika soka,...
Wavuvi kutoka maeneo ya uvuvi ya mjini Kilifi waliamkia maandamano hadi nje ya lango la makazi ya Gavana Gideon Mung’aro kwa lengo la kumuona Gavana na...
Mshambulizi wa Paris Saint-Germain, Ousmane Dembele, anatabiriwa kumshinda nyota chipukizi wa Barcelona, Lamine Yamal, na kushinda tuzo ya Ballon d’Or ya wanaume usiku wa leo, huku...
Serikali ya kaunti ya Kilifi yaendeleza mpango wa kusambaza tani 62.5 za unga wa uji ulioimarishwa kwa virutubisho kwa vituo 813 vya umma vya ECDE, hatua...
Kilabu ya Diani Stars walitwaa ubingwa wa wanaume baada ya kuichapa Barbados 4-2, huku Mwanambeyu Girls wakinyakua taji la wanawake kwa ushindi wa 4-2 dhidi ya...
Mshambulizi Ferran Torres alifunga mabao mawili kwa mabingwa Barcelona walipoichapa Getafe 3-0 Jumapili na kusalia nyuma ya Real Madrid kileleni mwa La Liga. Dani Olmo pia...
Bandari ya Mombasa imepokea meli ya kwanza ya aina yake, MV Grande Shanghai, ambayo imetengenezwa kwa teknolojia ya kisasa inayowezesha kupunguza kwa kiasi kikubwa uchafuzi wa mazingira....