Mgombea urais kwa tiketi ya chama cha ACT Wazalendo Luhaga Joelson Mpina amekutana tena na kizingiti kingine baada ya Tume ya Uchaguzi nchini Tanzania kuondoa jina...
Mwakilishi wa Kike kaunti ya Mombasa Zamzam Mohammed, amewataka wakaazi zaidi ya 400 waliopatiwa hatimiliki za ardhi katika eneo bunge la Jomvu kuzitumia vyema hati miliki...
Kilabu ya KCB wametawazwa mabingwa wa Dala Sevens 2025 baada ya kuwashinda mahasimu wao wakuu Kabras RFC kwa alama 12-7 kwenye fainali ya kusisimua iliyochezwa chini...
Timu ya Kenya itakuwa na wawakilishi watatu kwenye fainali ya wanawake mita 1500 katika Mashindano ya Dunia ya Riadha mjini Tokyo, baada ya bingwa mara tatu...
Mkenya Peres Jepchirchir alitimka kishujaa katika mwisho wa mita 100 kwa kasi ya juu, akimshinda Tigst Assefa wa Ethiopia na kutwaa dhahabu katika marathoni ya wanawake...
Mwanafunzi wa chuo kikuu cha Pwani mjini Kilifi ameaga dunia wakati akiogelea katika ufuo wa bahari hindi wa Vidazini katika eneo bunge la Kilifi Kazkazini kaunti...
Mkurugenzi wa Huduma Centre Ben Kai Chilumo anaomboleza kifo cha babake Kuhani Lazaro Chilumo Kai. Mzee Chilumo Kai alifariki Septemba 10, 2025 katika Hospitali ya Pandya...
Maafisa wa polisi Malindi kaunti ya Kilifi wanasema wamewanasa washukiwa 42 wa magenge ya uhalifu katika msako kwenye mitaa ya Karima, Soweto, Milano na Mgandini. Polisi...
Wadau katika sekta ya mazingira kaunti ya Lamu wanasema mabadiliko ya hali ya anga yanayoshuhudiwa sawa na ujenzi wa bandari ya Lamu kumechangia mapato ya samaki...
Kinara wa chama cha DCP Rigathi Gachagua ametangaza nia ya kuwania wadhfa wa urais mwaka 2027 akilenga kumg’oa rais William Ruto mamlakani. Gachagua amekuwa akifanya ziara...