Kinara wa chama cha Wiper Kalonzo Msyoka ameitaka serikali ya rais William Ruto kutoa ufafanuzi kuhusu uwepo wa maafisa kutoka Jubaland hapa nchini. Kalonzo alisema hatua...
Mwanamuziki mashuhuri wa Congo (DRC) Mbila Bel, anaendelea kupata matibabu katika Hospitali Moja Mjini Kinshasa, baada ya Gari alimokuwa akisafiria kuhusika kwenye ajali ya barabarani Septemba...
Mahakama Kuu ya Malindi imewaachilia washukiwa watatu wanaohusishwa na kesi ya mauaji ya halaki ya watu katika kijiji cha Kwa Binzaro eneo bunge la Magarini kaunti...
Shirika la Kupambana na Matumizi ya Dawa za Kusisimua Misuli Duniani (WADA) siku ya Alhamisi limeshtaki Kenya kwa kutotii masharti yake, hatua inayoweza kusababisha nchi hiyo...
Mkurugenzi Mkuu wa Cricket Kenya, Ronald Bukusi, ameondoa uvumi kuhusu mpangilio wa uongozi ndani ya timu ya taifa ya kriketi ya wanaume, akisisitiza kuwa hakuna mkanganyiko...
Mwakilishi wadi ya Bomani mjini Taveta kaunti ya Taita Taveta Chrispus Tondoo ameliomba bunge la kaunti hiyo msamaha kutokana na matamshi aliyoyatoa hapo awali akikashifu bunge...
Kipa wa kilabu ya Manchester United kutoka Cameroon, Andre Onana, amekamilisha uhamisho wa mkopo wa msimu mzima kuelekea klabu ya Uturuki, Trabzonspor. Mustakabali wa Onana katika...
Siku chache baada ya Wakili Kyalo Mbobu kuuawa kinyama kwa kupigwa risasi mara kadhaa akiwa kwenye gari lake barabara ya Lang’ata jijini Nairobi, mawakili mjini Kilifi...
Mahakama kuu nchini Tanzania imemrejesha kwenye debe mgombea urais wa chama cha upinzani ACT wazalendo, Luhaga Mpina na kupindua maamuzi yaliyotolewa na tume ya uchaguzi nchini...
Shughuli zote ziko tayari kwa ajili ya fainali ya kusisimua ya Raga ya Taifa ya Mizunguko ya Saba mwaka 2025, itakayofanyika jijini Kisumu marufu kama Dala...