Kilabu ya Chelsea imefunguliwa mashtaka na Shirikisho la Soka la Uingereza (FA) kwa madai ya kukiuka kanuni 74 zinazohusiana na malipo kwa mawakala kati ya mwaka...
Rais William Ruto ametuma jeshi la KDF kusimamia ujenzi wa vituo vya afya zaidi ya 75 kote nchini katika juhudi za kuhakikisha ujenzi unakamilika kwa haraka....
Kocha msaidizi wa Kenya Ports Authority (KPA), Samuel Ocholla, ana imani kwamba Wanabandari hao wataibuka mabingwa wa Ligi ya Mpira wa Vikapu ya Wanawake ya Kenya...
Kikosi cha pili cha timu ya Kenya kimeondoka nchini Jumatano jioni kuelekea Tokyo, Japan, kushiriki mashindano ya Riadha Duniani kuanzia Jumamosi hii. Wanariadha waliosafiri kwa kutumia...
Miamba wa soka nchini Tanzania klabu ya Simba waliwashinda mabingwa wa zamani wa ligi kuu nchini Kenya, Gor Mahia, mabao 2-0 katika mechi ya kirafiki iliyopigwa...
Magoli mawili kutoka kwa Emily Moranga na Mganda Zaina Namileme yaipa Kenya Police Bullets ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya miamba wa Eritrea, DenDen FC, na...
Mshikilizi wa zamani wa rekodi ya dunia Eliud Kipchoge na bingwa wa Olimpiki Sifan Hassan watasaka ubingwa wao wa kwanza kwenye Marathon ya Jiji la New...
Muungano wa Wahadhiri wa vyuo vikuu nchini UASU umetoa matakaa ya siku 7 kwa serikali kutimiza matakwa yao la sivyo watishiriki mgomo wa kitaifa. Wahadhiri hao...
Bei ya Vitunguu katika masoko ya humu nchini huenda ikaongezeka hata zaidi kufuatia uhaba wa bidhaa hiyo. Kufuatia hatua hiyo wafanyibiashara wa vitunguu humu nchini wamelazimika...
Msaidizi wa Kamishna wa kaunti ya Kilifi eneo la Kilifi Kusini, Francis Macharia amesema ukosefu wa elimu umechangia kwa wanajamii wengi kaunti ya Kilifi kutapeliwa katika...