Tume ya kitaifa ya huduma za polisi (NPSC) imehakikishia wakenya kwamba zoezi lijalo la kuwaajiri maafisa wa polisi litakuwa wazi, shirikishi, na lisilo na utovu wa...
Timu ya soka Harambee Stars hatimaye wamehitimisha kusubiri ushindi wa nyumbani kwenye kufuzu Kombe la Dunia 2026 baada ya kushinda kwa kishindo cha mabao 5-0 dhidi...
Mkufunzi Nuno Espírito Santo ametimuliwa na Nottingham Forest baada ya michezo mitatu pekee ya msimu mpya. Kocha huyo kutoka Ureno aliiongoza Forest kufuzu Ulaya msimu uliopita...
Mkurugenzi wa masuala ya uvuvi kaunti ya Kilifi Mwangi Gachuru amesema serikali ya kaunti ya Kilifi inaendeleza mikakati katika kuimarisha sekta ya uvuvi kwenye kaunti hii...
Ni dhahiri sasa kutakuwa maaadhimisho ya Chenda Chenda siku ya Jumanne Septemba 9, 2025 kwa wakati mmoja katika kaunti ya Kwale na kaunti ya Kilifi. Waasisi...
Kiongozi wa upinzini nchini Tanzania Tundu Lissu, anapandishwa kizimbani katika Mahakama Kuu Masjala Ndogo mjini Dar es Salaam, kwa ajili ya kesi ya uhaini inayomkabili kwa...
Jopo lililoundwa na Rais William Ruto kushughulikia masuala ya fidia ya waathiriwa wa ukatili wa polisi wakati wa maadamano limeanza kikao cha wiki moja huku mjadala...
Mshambuliaji wa Liverpool Hugo Ekitike amekaribisha ujio wa mchezaji mpya aliyesajiliwa kwa rekodi ya Uingereza, Alexander Isak, na amesema ana furaha na changamoto ya kushindania nafasi...
Mchezaji wa Uhispania Carlos Alcaraz alimpiga breki Jannik Sinner raia wa Italia kwenye utawala kwa mtindo wa kipekee na kutwaa taji lake la pili la US...
Mchezaji Nambari moja duniani mchezo wa tenisi kwa akina dada Aryna Sabalenka alimshinda Amanda Anisimova na kutetea taji lake la US Open siku ya Jumamosi, baada...