Timu ya Taifa la Morocco Atlas Lions imejikita zaidi katika historia ya soka barani Afrika baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Madagascar...
Rais wa CAF, Dkt. Patrice Motsepe na Rais wa FIFA, Gianni Infantino, wamesifu Mashindano ya Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN) 2024 yaliyoisha hivi...
Jamii ya wapokomo wanaoishi kaunti ya Mombasa wamelalamikia kutengwa na serikali ya kaunti hiyo kwa kile wanachodai kuwa ni ubaguzi wa kikabila. Wakiongozwa na mwenyekiti wao,...
Waziri wa utumishi wa Umma nchini Geoffrey Ruku anasema serikali inaangazia kuwianisha mishahara ya watumishi wa umma na kukumbatia mageuzi ya kidijitali, ikiwa ni pamoja na...
Kaunti ya Lamu inaendelea kushuhudia changamoto ya nguvu za umeme ambayo inaendelea kuathiri utoaji wa huduma katika idara mbali mbali katika kaunti hiyo. Gavana wa kaunti...
Maafisa wa polisi katika kituo cha polisi cha Inuka eneo bunge la Likoni kaunti ya Mombasa wanamzuilia mwanamume mmoja baada ya kumkamata akiwa na misokoto 284...
Muungano wa wauguzi katika kaunti ya Lamu ukiongozwa na Erick Otieno umekosoa kitendo cha maafisa wa polisi cha kuwatupia vitoa machozi walipoandamana kuelekea makao makuu ya...
Bingwa mtetezi wa wanaume mpira wa tenesi Jannik Sinner aliingia raundi ya tatu ya US Open hapo jana huku Coco Gauff na Iga Swiatek wakipambana kuendeleza...
Kilabu ya Tottenham Hotspur imeafikia makubaliano rasmi ya kumsajili nyota wa RB Leipzig, Xavi Simons, kwa mujibu wa mtaalamu wa usajili Fabrizio Romano. Simons, ambaye aliwahi...
Mkufunzi wa Ureno Jose Mourinho ametimuliwa na klabu ya Fenerbahce ya Ligi Kuu ya Uturuki baada ya michezo sita pekee tangu kuanza kwa msimu mpya. Sababu...