Wakaazi na wavuvi wanaotumia ufuo wa bahari hindi katika eneo la Diani kaunti ya Kwale wameonywa kuwa waangalifu zaidi dhidi ya upepo mkali unaoshuhudiwa baharini. Kulingana...
Mashindano ya CHAN 2024 yakielekea ukingoni, mashabiki wanatarajiwa kupata burudani ya aina yake kutoka kwa baadhi ya nyota wakubwa wa muziki Afrika Mashariki. Kenya, Uganda na...
Msanii nguli kutoka Tanzania, Zuchu, anatarajiwa kutumbuiza kwenye mechi ya Fainali ya CHAN 2024 Jumamosi, Agosti 30, 2025 jijini Nairobi. Kupitia mitandao yake ya kijamii, Zuchu...
Mkufunzi wa Harambee Stars Benni McCarthy ametangaza kikosi chake cha mwisho kwa ajili ya mechi mbili muhimu za kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya Gambia na...
Gavana wa kaunti ya Kilifi Gedion Mung’aro amesema serikali yake iko mbioni kuhakikisha miradi yote ya maendeleo katika kaunti inakamilika kufikia mwezi juni mwaka ujao wa...
Kesi inayosubiriwa kwa hamu ya kumuondoa madarakani Gavana wa Kericho Erick Mutai, imeanza rasmi katika bunge la Seneti. Kulingana na ratiba rasmi iliyotolewa na Karani wa...
Seneta wa kaunti ya Kilifi, Stewart Madzayo amegadhabishwa na kile alichokiita utepetevu katika serikali kuu kufuatia malimbikizi ya miili inayofukuliwa Shakahola inayohifadhiwa kwenye makafani ya hospitali...
Wahudumu wa sekta ya uchukuzi wa Tuktuk katika wadi ya Mariakani eneo la bunge la Kaloleni kaunti ya Kilifi wanaendelea kulalamikia gharama ya juu ya bei...
Kongamano la siku tatu kuhusu wiki ya upishi kutumia kawi safi limezinduliwa rasmi mjini Kilifi katika kaunti ya Kilifi huku serikali kuu ikimesema inaendelea kujumuisha kila...
Kenya inaadhimisha miaka 15 ya Katiba mpya tangu kubuniwa rasmi mwaka wa 2010 chini ya utawala wa Hayati Mwai Kibaki kufuatia shinikizo la miaka mingi ya...