Mshikilizi wa rekodi ya dunia ya kuruka kwa mlingoti, Armand ‘Mondo’ Duplantis, analenga kushinda taji lake la tano mfululizo la Diamond League hii leo mjini Zurich,...
Mbio za kutafuta wawakilishi wa Kenya katika Michezo ya Walemavu wa Usikivu (Deaflympics) 2025 jijini Tokyo, Japani kuanzia Novemba 15 hadi 26, zilianza hapo jana kwa...
Zaidi ya Wawakilishi wadi 70 wa kaunti ya Nairobi walitia saini hoja ya kutokuwa na Imani na Gavana wa kaunti ya Nairobi Johnson Sakaja, ambayo inalenga...
Timu ya taifa la Madagascar ikiwa na wachezaji kumi ilitoa ushindi wa kusisimua kwa bao la muda wa nyongeza na kuilaza Sudan 1-0 jijini Dar es...
Kilabu ya PSG ya Ufaransa imeripotiwa kupunguza ada waliyotarajia kwa kipa wa Kiitaliano Gianluigi Donnarumma kufuatia nia kutoka kwa kilabu ya Manchester City. Donnarumma, mwenye umri...
Timu ya taifa la Sudan iliingia kwenye Mashindano ya Mataifa ya Afrika (CHAN) ikiwa haikutarajiwa kabisa kufika mbali kwani ligi yake ya nyumbani karibu haipo katika...
Mwakilishi wadi ya Malindi mjini Rashid Odhiambo amekiri kuwepo kwa mvurugiko mkubwa ndani ya chama cha ODM katika kaunti ya Kilifi. Akizungumza katika kipindi cha Coco...
Ubabe wa mpira wa miguu kati ya Kenya na Tanzania inatarajiwa kuchukua mwelekeo mpya mwezi ujao wakati mabingwa wa Ligi Kuu ya Tanzania, Yanga SC, watakapowaalika...
Viongozi wa kijamii katika kaunti ya Kilifi wameeleza kuwa watoto wengi wanakosa kupata chanjo kufuatia dhana potovu zinazoenezwa miongoni mwa wanajamii. Wakiongozwa na Mumina Halaso, viongozi...
Mwanariadha wa kasi zaidi barani Afrika, Mkenya Ferdinand Omanyala, amethibitisha kwamba hatashiriki kwenye Fainali ya Diamond League ya 2025 kutokana na changamoto za majeraha. Nyota huyo...