Mshambulizi wa Crystal Palace Eberechi Eze anatarajiwa kujiunga na Arsenal kwa pauni milioni 60 baada ya klabu hiyo kufikia makubaliano ya awali ya kumsajili mshambuliaji huyo...
Huduma za matibabu katika hospitali na zahanati za umma kaunti ya Kilifi zimerejea kama kawaida baada ya wauguzi waliokuwa katika mgomo kusitisha mgomo wao rasmi. Hii...
Eneo la Rabai kaunti ya Kilifi ndio eneo linaloongoza katika kaunti nzima ya Kilifi na idadi kubwa ya watoto ambao hawajapokea chanjo yoyote inayochanjwa watoto. Haya...
Mshambulizi wa Aston villa Leon Bailey amekamilisha uhamisho wa mkopo kutoka Villa Park kwenda klabu ya Roma ya Italia. Winga huyo wa Jamaica amejiunga na kikosi...
Mshambulizi wa Arsenal Kai Havertz anaripotiwa kupata tena pigo la majeraha baada ya kuumia goti, jambo lililomfanya kukosa mazoezi ya Arsenal kwenye uwanja wa Emirates mapema...
Mbunge wa Changamwe Omar Mwinyi amewakosoa magavana nchini, akisema wameshindwa kuwajibikia majukumu yao ipasavyo katika kaunti zao. Mwinyi ambaye alikuwa akizungumza katika eneo la Portreiz eneo...
Wachezaji zaidi ya 286 wa gofu walijitokeza katika Klabu ya Gofu ya Muthaiga wikendi kushiriki makala ya pili la Amerucan Golf Day, tukio la kipekee linalochanganya...
Mashindano ya TotalEnergies African Nations Championship (CHAN) 2024 yameingia hatua ya robo fainali baada ya mechi za mwisho za makundi kukamilika hapo jana kwa msisimko mkubwa....
Kamati ya bunge la seneti kuhusu masuala ya Ardhi, Mazingira na maliasili imeilaumu Wizara ya Ardhi nchini kwa kutowasilisha stakabadhi za ardhi za kaunti ya Kilifi...
Mahambulizi wa Liverpool Mohamed Salah ametangazwa Mchezaji Bora wa Wachezaji wa PFA (PFA Players’ Player of the Year) baada ya msimu wa kihistoria wa 2024-25 ambapo...