Mabingwa watetezi msururu wa Wimbledon raia wa Italia Jannik Sinner na Aryna Sabalenka waliweka rekodi nzuri ya kusonga robo fainali za Cincinnati Open hapo jana, huku...
Uwanja wa Gofu wa Railways (Par 72) unatarajiwa kuwapokea zaidi ya wachezaji 200 wa gofu kwa awamu ya kumi na nane ya Mashindano ya KCB East...
Mkurugenzi mkuu wa shirika la Kenya Land Alliance, Faith Alubbe amesisitiza haja ya serikali za kaunti na ile ya kitaifa kuendelea kutoa hamasa kwa wananchi mashinani...
Huenda serikali ikalazimika kuizika miili ya watu waliofariki dunia eneo la Shakahola, Magarini kaunti ya Kilifi baada ya zoezi la kuitambua miili hiyo kusitishwa. Waziri wa...
Tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC imewahakikishia wakenya kwamba uchaguzi mkuu wa mwaka wa 2027 kutakuwa huru na wa haki kwani tume hiyo imejipanga...
Mabingwa wa Ulaya kilabu ya Paris Saint-Germain (PSG) walianza msimu mpya kwa kutwaa tena kombe Jumatano usiku baada ya kuwashinda Tottenham Hotspur kwa penalti 4-3 katika...
Rais William Ruto ametia saini na kuwa sheria miswaada miwili muhimu inayokusudiwa kupiga jeki ufadhili wa Serikali za Ugatuzi nchini. Rais Ruto ambaye anahudhuria Kongamano la...
Chama cha Kitaifa cha Mpira wa Kikapu (NBA) na Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Kikapu (FIBA) siku ya Jumatatu walitangaza kwamba kambi ya 21 ya...
Kilabu ya Nakuru RFC, ambao wameanza vyema kwenye msururu wa raga nchini National Sevens Circuit inayoendelea, wametaja kuwa uthabiti wa kifedha ulioletwa na mshirika wao, Smart...
Mshindi wa medali ya shaba ya mbio za mita 100 kwenye Michezo ya Olimpiki na bingwa wa dunia wa mwaka 2022, Fred Kerley, ambaye Jumanne alisimamishwa...