Vijana katika eneo bunge la Rabai kaunti ya Kilifi wamehimizwa kutumia talanta zao kikamilifu ili kujikimu kimaisha. Wakiongozwa na Samuel Mweni, vijana hao walisema kuwa idadi...
Maafisa tawala eneo la Malindi kaunti ya Kilifi wametoa wito kwa wachungaji wa eneo hilo kuyasajili makanisa yao kwenye afisi za utawala mara moja. Wakiongozwa na...
Kikosi cha voliboli kwa chipukizi Junior Strikers kimerejea nchini asubuhi ya leo kutoka Yaoundé, Cameroon, baada ya kutwaa kombe la Ubingwa wa Afrika kwa chipukizi kwa...
Ukosefu wa vitambulisho vya kitaifa pamoja na vyeti vya kuzaliwa ni changamoto inayoathiri shughuli ya usajili wa watu wanaoishi na uwezo maalum kaunti ya Kwale. Haya...
Waziri wa Michezo, Salim Mvurya, amesema kuwa Shirikisho la Soka la Kenya (FKF) litaanzisha maeneo maalum ya mashabiki jijini Nairobi kwa ajili ya kutazama mechi za...
Timu ya taifa ya Nigeria, maarufu kama Super Eagles, imeaga mashindano ya CHAN baada ya kuchapwa mabao 4–0 na Sudan katika mechi ya pili ya Kundi...
Kongamana la 9 la magavana nchini limeingia siku yake ya pili Agosti 13, 2025 katika kaunti ya Homabay ambapo masuala mbalimbali yanayohusu ugatuzi yanatarajiwa kujadiliwa na...
Mshambulizi wa timu ya taifa ya Uswidi, Alexander Isak, ameieleza klabu ya Newcastle United kuwa hatacheza tena kwao katika taaluma yake ya soka. Isak ameeleza wazi...
Timu ya taifa ya Uganda, maarufu kama Uganda Cranes, imekwea kileleni mwa Kundi C baada ya ushindi wa mabao 2–1 dhidi ya Niger jana kwenye uwanja...
Wito umetolewa kwa serikali kuu kufufua viwanda vilivyofungwa katika kaunti ya kilifi ili kubuni nafasi zaidi za ajira. Mbunge wa Kaloleni Paul Katana, alisema kuna viwanda...