Muungano wa madaktari nchini KMPDU tawi la pwani umeonya madaktari wazembe ukisema hautamtetea daktari yeyote atakayepatikana anakwepa majukumu yake. Hii ni baada ya taarifa ya kamati...
Rais William Ruto amesema atawasilisha bungeni pendekezo la kupunguzwa kwa ushuru wa pikipiki ili kuwawezesha vijana kote nchini kuwa na uwezo wa kumiliki pikipiki na kujiimarisha...
Mamlaka ya bandari nchini KPA imeanzisha zoezi la kusafisha maeneo ya kuhifadhi mizigo katika bandari ya Mombasa katika juhudi za kuboresha utoaji wa huduma na kuhakikisha...
Waziri wa Masuala ya kigeni Musalia Mudavadi amepuuzilia mbali madai kuwa uhusiano kati ya Kenya na Marekani unayumba. Hii ni kufuatia mswada uliowasilishwa katika bunge la...
Timu ya taifa ya soka, Harambee Stars, itashuka dimbani jioni ya leo kuwania alama tatu muhimu dhidi ya Angola, katika mechi yao ya pili ya mashindano...
Timu ya taifa Stars ya Tanzania imeweka guu moja kuingia kwenye hatua ya robo fainali taji la CHAN. Hii ni baada ya ushindi wa pili mfululizo...
Baadhi ya vijana kaunti ya Kilifi waliohudhuria kongamano la kuadhimisha wiki ya vijana lililofanyika katika chuo cha Pwani Jumatano wameitaka serikali kuendeleza mikakati ya kuwainua vijana...
Katibu katika Wizara ya vijana na uchumi bunifu nchini Fikirini Jacobs amesema juma la vijana limebuniwa ili kutoa nafasi zaidi kwa vijana wengi kuwasilisha matakwa yao...
Wadau wa sekta ya utalii kaunti ya Mombasa wamepinga vikali pendekezo la shirika la huduma kwa wanyamapori nchini (KWS) la kutaka kuongeza ada za kuingia na...
Wachuuzi wa zao la nazi eneo la pwani wanasema kuwa biashara hiyo imeimarika msimu huu ikilinganishwa na hapo awali. Kulingana na wachuuzi wa nazi kutoka soko...