Kamati ya afya ya bunge la seneti sasa imetoa wito kwa serikali kuu kuiondoa miili zaidi ya 400 ambayo inaendelea kuhifadhiwa katika makafani ya hospitali ya...
Rais William Ruto amemteua Amani Yuda Komora kuwa Mwenyekiti wa Tume ya kitaifa ya Huduma ya Polisi (NPSC) na Angeline Yiamiton Siparo kuwa mwanachama. Uteuzi huo...
Muunda maudhui maarufu Pwani, Nyevu Fondo, amefunguka sababu zake za kukataa pesa za mchango wa matibabu zilizochangishwa na Presenter Jakki. Presenter Jakki, bila kumjulisha Nyevu, alianzisha...
Chama cha ODM kimepinga barua inayosambaa mitandaoni ikidai gavana wa kaunti ya Siaya James Orango amejiuzulu wadhifa wake. Barua hiyo ilidaiwa kutoka kwa gavana Orengo na kuelekezwa kwa spika...
Manchester United imetwaa ubingwa wa kombe la ‘Premier League Summer Series’ kufuatia sare ya 2-2 dhidi ya Everton katika dimba la Mercedes-Benz, Atlanta, Georgia Marekani. Michuano...
Idara ya usalama katika kaunti ya Kwale imefichua maabara ya siri ya dawa za kulevya katika kijiji cha Mwabungo eneo la Ukunda. Kulingana na vyanzo vya...
Bunge la kaunti ya Kilifi linarejelea vikao vyake Agosti 4, 2025 baada ya kuahirishwa kwa mda wa majuma mawili. Hii ni baada ya bunge hilo mnamo...
Timu ya Taifa ya Kenya (Harambee Stars) imechukua alama zote tatu kufuatia ushindi wa 1-0 dhidi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kwenye mchezo wa kwanza...
Daktari wa magonjwa ya kuambukiza katika hospitali ya rufaa ya Moi mjini Voi katika kaunti ya Taita Taveta Urbanius Kioko amewataka wenyeji wa kaunti hiyo kuzingatia...
Serikali ya Kenya imeiandikia barua jumuiya ya afrika mashariki kupinga vikwazo vilivyowekwa na Tanzania kuhusu kufanya biashara katika taifa hilo. Katibu mkuu katika idara ya EAC...