SIKU 11 ZIMESALIA KWA KOMBE LA CHAN KUNGOA NANGA ZAMBIA- Chipolopolo Hii leo tunangazia Taifa la Zambia,wanajiita Chipolopolo kwa jina la Utani,ikiwa inaorodheshwa nafasi ya 87...
Mamlaka ya kukabiliana na dawa za kulevya na pombe haramu nchini NACADA inaendelea kushikilia pendekezo lake la kutaka umri wa chini wa unywaji wa pombe uwe...
Manchester United imethibitisha kukamilisha usajili wa mshambuliaji, Bryan Mbeumo kwa ada ya uhamisho ya pauni milioni 71 pamoja na nyongeza akitokea Brentford na atavaa jezi namba...
Mshambulizi wa Manchester United Marcus Rashford akamilisha vipimo nchini Uhispania hapo jana. Hata hivyo Baada ya Marcus Rashford kukamilisha vipimo hivyo vya afya kwa mafanikio huko...
Msanii nguli wa muziki Afrika Mashariki, Kaa la Moto, amekingia kifua kauli ya msanii mwenzake Kelechi Africana aliyedai kuwa “kinachowafelisha wanamuziki wa Mombasa ni ukahaba.” Akizungumza...
Gavana wa kaunti ya Kilifi Gideon Mung’aro amefanya mabadiliko katika serikali yake na kumteua afisa mkuu mtendaji wa idara ya barabara Philip Charo kuwa kaimu waziri...
Mahakama mjini Malindi kaunti ya Kilifi iliwaamuru washukiwa 11 waliokamatwa katika kijiji cha Kwa Binzaro kilomita sita kutoka eneo la Shakahola kuzuiliwa rumande kwa mda wa...
Naibu Kamishna wa kaunti ndogo ya Kaloleni kaunti ya Kilifi, Kyalo Kaloki amewapongeza wenyeji kwa juhudi ambazo wamekuwa wakiweka kudhibiti mauaji ya wazee kwa tuhuma za uchawi. Kaloki...
Mbunge wa Kaloleni kaunti ya Kilifi Paul Katana ametoa wito kwa viongozi wa kisiasa kujiepusha na siasa ambazo huenda zikasababisha chuki miongoni mwa wenyeji. Akizungumza katika...
Shughuli za kibiashara katika soko la Tezo kaunti ya kilifi ziliathirika jumatatu ya Julai, 21, 2025 kufuatia mgomo wa wahudumu wa tuktuk. Kulingana na wafanyibiashara katika soko...