Wiki iliyopita, Combs alipatikana na hatia kwa makosa mawili ya usafirishaji kwenda kufanya ukahaba baada ya kesi ya wiki nane. Anakabiliwa na kifungo cha hadi miaka...
Nyota wa muziki nchini Tanzania Juma Jux amekanusha taarifa zinazoenea kuwa alichukua mkopo wa Sh25 milioni (Tsh500 milioni) ili kugharamia sherehe za harusi yake. Mwimbaji huyo...
Wakili na mwanasiasa maarufu kutoka Kilifi, George Kithi, ameweka wazi azma yake ya kuendelea kukuza sekta ya muziki na ubunifu katika ukanda wa Pwani ya Kenya...
Kelechi Afrikana, kwa mara nyingine tena ametoa ujumbe mzito kwa wale wanaotafuta umaarufu (clout) kupitia jina lake, akisisitiza kuwa muziki unapaswa kuwa msingi wa mafanikio ya...
💥 Ujumbe wa mafumbo, mkorogo, na mzaha wa ‘something wet’ waunda kisanga cha kitaa!
“Nitangoja tena miaka mitano kabla sijafanya maamuzi ya kuolewa.” — Ruby Kache
Mwanamuziki chipukizi na mbunifu wa mavazi aeleza kwa uwazi changamoto, maumivu na matumaini yake
Jopo la majaji 12 mjini New York limempata msanii maarufu wa muziki wa hip hop, Sean “Diddy” Combs, bila hatia katika mashtaka mazito yaliyomkabili, ambayo yangeweza...
Kwa mara nyingine tena, majina ya Simon Kabu na Sarah ‘Mtalii’ Njoki yamerudi kwenye vichwa vya habari, baada ya video ya hivi karibuni kusambaa mtandaoni na...
Mastaa wakubwa duniani wakiwemo Kim Kardashian, Bill Gates, na Oprah Winfrey wamewasili Venice, Italia, kwa ajili ya kuhudhuria harusi ya kifahari ya mwanzilishi wa Amazon, Jeff...