Serikali ya kaunti ya Mombasa inalenga kuwekeza shilingi laki moja ili kunufaisha miradi ya mafunzo na ajira kwa vijana kujiendeleza kimaisha. Katibu katika Wizara ya biashara,...
Kinara wa Chama cha ODM Raila Odinga amependekeza fedha zote zinazosambaza kwa hazina ya NG-CDF na NGAAF, kufanywe marekebisho ili fedha hizo kusambazwa kwa serikali za...
Maafisa wa usalama kwa ushirikiano na wale Shirika la huduma kwa wanyamapori nchini KWS, wamewatahadhari wananchi kuwa waangalifu dhidi ya Wanyamapori hasa Ndovu katika eneo la...
Huku Kongamano la Ugatuzi awamu ya 12 likiendelea kaunti ya Homa Bay, bado Wakenya wanaendelea kutathmini iwapo malengo ya ugatuzi yanatimizwa. Yapo maswali mengi tu kuhusu...
Mkurugenzi mkuu wa shirika la Kenya Land Alliance, Faith Alubbe amesisitiza haja ya serikali za kaunti na ile ya kitaifa kuendelea kutoa hamasa kwa wananchi mashinani...
Huenda serikali ikalazimika kuizika miili ya watu waliofariki dunia eneo la Shakahola, Magarini kaunti ya Kilifi baada ya zoezi la kuitambua miili hiyo kusitishwa. Waziri wa...
Tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC imewahakikishia wakenya kwamba uchaguzi mkuu wa mwaka wa 2027 kutakuwa huru na wa haki kwani tume hiyo imejipanga...
Rais William Ruto ametia saini na kuwa sheria miswaada miwili muhimu inayokusudiwa kupiga jeki ufadhili wa Serikali za Ugatuzi nchini. Rais Ruto ambaye anahudhuria Kongamano la...
Vijana katika eneo bunge la Rabai kaunti ya Kilifi wamehimizwa kutumia talanta zao kikamilifu ili kujikimu kimaisha. Wakiongozwa na Samuel Mweni, vijana hao walisema kuwa idadi...
Maafisa tawala eneo la Malindi kaunti ya Kilifi wametoa wito kwa wachungaji wa eneo hilo kuyasajili makanisa yao kwenye afisi za utawala mara moja. Wakiongozwa na...