Ukosefu wa vitambulisho vya kitaifa pamoja na vyeti vya kuzaliwa ni changamoto inayoathiri shughuli ya usajili wa watu wanaoishi na uwezo maalum kaunti ya Kwale. Haya...
Kongamana la 9 la magavana nchini limeingia siku yake ya pili Agosti 13, 2025 katika kaunti ya Homabay ambapo masuala mbalimbali yanayohusu ugatuzi yanatarajiwa kujadiliwa na...
Wavuvi eneo bunge la Likoni, kaunti ya Mombasa, wameitaka halmashauri ya bandari nchini (KPA) kusitisha mara moja shughuli za kumwaga tope maeneo ya bahari wanakofanyia shughuli...
Wajumbe zaidi ya elfu 30 wanahudhuria Kongamano la 9 la Ugatuzi la mwaka wa 2025 katika kaunti ya Homabay linaloanza rasmi Agosti 12, 2025. Akihutubia Wanahabari...
Shirika la wanawake mawakili nchini (FIDA) limekemea vikali ongezeko la visa vya dhulma za wanawake kwenye mitandao ya kijamii. Mkurugenzi mtendaji wa shirika hilo Anne Ireri...
Mili mingine minne imepatikana ikiwa imeoza kiasi cha kutotambulika katika msitu wa Shakahola karibu na kijiji cha Binzaro eneo bunge la Magarini kaunti ya Kilifi. Mili...
Viongozi wa kidini katika ukanda wa Pwani wamejitokeza na kushinikiza kuchukuliwa kwa hatua za haraka kuhusu jinsi ya kukomesha changamoto zinazoathiri maisha ya wananchi mashinani. Mwenyekiti...
Kinara wa Chama cha ODM Raila Odinga ameonekana kuunga mkono ushirikiano kati ya chama cha UDA na ODM, na akawasuta wapinzani dhidi ya kauli yao ya...
Kaimu Spika wa bunge la kaunti ya Taita Taveta Anselm Mwadime ametoa wito kwa viongozi wa kaunti hiyo kuwajibika vilivyo katika kutetea maslahi ya wakaazi wa...
Waziri wa afya nchini Aden Duale amethibitisha kusitishwa kwa shughuli za vituo 40 vya afya ambavyo vilibainika kujihusisha na udanganyifu dhidi ya mamlaka ya bima ya...