Sports

Faith Kipyegon Akosa Rekodi Kwa Sekundi 06.42

Published

on

Mkenya na bingwa mara tatu wa mbio za Olimpiki mita 1500 Faith Kipngetich Kipyegon akosa kuvunja rekodi na kukimbia maili moja chini ya dakika 4 baada ya kukosa kwa muda wa sekunde 06.42 ugani Stade Charlety Ufaransa.

Mwanariadha huyo nguli alirejea jana Paris mji ambao mwaka 2023 alivunja rekodi yake mwenyewe kwa kutumia muda wake bora dakika 4.07.64 katika mji wa Monaco.

Hapo jana kwa usaidizi wa viatu maalum na wasaidizi uwanjani stade charlety Kipyegon alikua anaandikisha rekodi kwa kuwa mwanamke wa kwanza kukimbia mile moja chini ya dakika 4 ila lengo lake halikutimia huku akikosa milioni 13 ambayo ilikua imetolewa na wadhamini wa mchezo huo duniani.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Trending

Exit mobile version