Rais William Ruto amesema kuwa atahakikisha miradi ya maendeleo aliyoahidi inakamilika kabla ya muhula wake wa kwanza kukamilika. Rais akizungumza baada ya kikao cha baraza la...
Shirikisho la kandanda Barani Afrika CAF imethibitisha kwamba mji wa Nairobi atakua mwenyeji wa fainali ya kombe hilo ambalo linaandaliwa na nchi tatu za Afrika Mashariki...
Wizara ya afya kaunti ya Kilifi imefichua kwamba maradhi ya Selimundu ni miongoni mwa maradhi ambayo yanaathiri idadi kubwa zaidi ya wakaazi kaunti hiyo. Akiongea kwa...
Bunge la kitaifa limepitisha mswada wa fedha wa mwaka wa 2025 ambao utaipa nafasi serikali ya Kenya kwanza kutekeleza majukumu yake kwa kuambatana na sheria. Bunge...
Huku ulimwengu ukiadhimisha siku ya ugonjwa wa Selimundu maarufu Sickle cell Aenemia, ukosefu wa hamasa za kutosha miongoni mwa jamii umetajwa kuchangia ongezeko la kusambaa kwa...
Kicheko ni dawa, lakini safari ya kumfanya mtu acheke si ya mchezo. Hii ni kauli inayomwelezea vyema Omwami Comedian, mchekeshaji anayezidi kung’aa kwenye anga la burudani...
Viongozi wa kijamii katika eneo la Jaribuni kaunti ya Kilifi wamekashifu vikali hatua ya kufunguliwa kwa barabaraza kuelekea katika timbo za mawe katika eneo la Jaribuni...
Wafugaji kaunti ya Kilifi wameshauriwa kuhifadhi nyasi kwa wingi msimu huu wa mvua ili kuwawezesha kuwa na chakula cha kutosha kwa mifugo wao wakati wa ukame....
Wafanyabiashara wa kuuza mitumba katika soko la Mariakani kaunti ya Kilifi wamelalamikia kupungua kwa biashara hiyo hasa musimu huu wa Mvua. Akiongea na mwahabari wetu, Mwenyekiti...
Kiungo mshambulizi wa Harambee starlets Martha Amunyolet amesema kwamba analenga kuwa mfungaji bora kwenye Makala yam waka huu ya CECAFA nchini Tanzania Kiungo huyo wa Kilabu...