Wataalamu wa sekta ya uchumi wa samawati na maswala ya bahari hapa nchini wamesistiza haja ya serikali kuweka mazingira bora ya kubuni nafasi zaidi ya ajira...
Rais William Ruto amewaongoza wakenya katika kuadhimisha sherehe za Madaraka za 62 tangu taifa lijipatie uhuru. Katika maadhimisho hayo ambayo yamefanyika katika uwanja wa Raila Odinga...
Gavana wa kaunti ya Kwale Fatuma Achani amesema kaunti ya Kwale imepiga hatua katika kuimarisha sekta ya uvuvi na uchumi samawati. Gavana Achani ameihimiza serikali ya...
Uongozi wa klabu ya Inter Milan uko radhi kurefusa mkataba wa kocha Simone Inzaghi licha ya kufeli kutwaa taji la klabu bingwa Uropa siku ya jumamosi....
Klabu ya Paris Saint-Germain (PSG) ndio mabingwa wa Klabu bingwa Uropa baada ya kuilaza Inter-Milan magoli 5-0 Jumamosi usiku, katika fainali iliyochezewa katika uwanja wa Allianz Arena jijini...
Wazazi na walimu kaunti ya Kwale wameshinikiza kuhimiza wanafunzi kujiunga zaidi na kundi la maskauti kutokana na idadi ndogo ya maskauti kaunti hiyo. Akizungumza wakati wa...
Maafisa wa usalama eneo la pwani wanasema wamewakamata wanaume 9 wa umri kati ya miaka 26 hadi 30 kwa tuhuma za wizi eneo la Mtwapa kaunti...
Mwanamuziki maarufu duniani, Rihanna, anaomboleza kifo cha baba yake mpendwa, Ronald Fenty, aliyefariki dunia Mei 31, 2025 huko Los Angeles, Marekani, akiwa na umri wa miaka...
Drumrolls tafadhali! 🔔🎉 Mtangazaji mahiri wa Coco FM, Sister Shanniez, hatimaye ametoka soko rasmi! Harusi ya kifahari ya kimyakimya, katikati ya jiji la Mtwapa, imegeuza Jumamosi...
Bunge la kitaifa limeanza kuwapiga msasa makamishena wateule 7 wa tume ya Uchaguzi na mipaka, IEBC katika majengo ya Bunge. Shughuli hiyo imeanza leo Jumamosi Mei...