Hali ya wasiwasi imetanda katika kambi ya timu ya taifa ya Nigeria, “Super Eagles,” baada ya kuripotiwa kuwa wachezaji wamegoma kufanya mazoezi kutokana na madai ya...
Msanii wa bango, Bavyombo, amezua gumzo kubwa kwenye mitandao ya kijamii baada ya kutangaza marufuku ya matumizi ya kauli maarufu “Mama Amina” ndani ya bendi yake...
Maafisa wa usalama mjini Malindi kaunti ya Kilifi wamewakamata washukiwa 18 kwenye msako uliolenga magenge ya kihalifu yaliyokuwa yakiwahangaisha wakaazi wa eneo hilo. Oparesheni hiyo ilifanyika...
Mamlaka ya Kitaifa ya Usafiri na Usalama barabarani, NTSA, imetoa tahadhari ya kiusalama ikiwataka madereva na watumiaji wengine wa barabara kuwa waangalifu kutokana na mvua kubwa...
Toleo la tatu la Mashindano ya Esse Akida lilifikia tamati Jumapili tarehe 28 Desemba 2025, huku Morning Stars na Kilifi Elite wakitawazwa mabingwa. Mashindano hayo yaliyoandaliwa...
Waziri wa usalama wa ndani Kipchumba Murkomen amewataka machifu na manaibu wao kuongeza juhudi katika vita dhidi ya pombe haramu na matumizi ya dawa za kulevya. Waziri...
MARIAKANI FC MABINGWA Timu ya soka ya vijana ya Mariakani fc ni Moja wapo ya timu zinazo kua Kwa kasi sana kutoka wadi ya Kaloleni, Kaunti...
MATANO MANE FC Timu ya soka ya vijana ya Matano Mane ni Moja wapo ya timu zinazo kua Kwa kasi sana kutoka wadi ya Sokoke, Kaunti...
Familia moja inatafuta hifadhi ya kisiasa nje ya nchi kufuatia kukamatwa na kufunguliwa mashtaka ya uhaini kwa baadhi ya wanafamilia wake nchini Tanzania, baada ya machafuko...
Wakili na mwanasiasa, George Kithi, hatimaye ameweka mambo wazi kuhusu madai yaliyokuwa yakisambaa kwamba alikuwa nyuma ya mpango wa kumleta msanii maarufu wa Tanzania, Zuchu, kutumbuiza...