Kipa wa timu ya taifa ya Ubelgiji, Thibaut Courtois, yuko mashakani kucheza mechi za kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya Kazakhstan na Liechtenstein baada ya kuumia...
Wakulima wa mapapai kutoka eneo bunge la Ganze kaunti ya Kilifi wameitaka serikali ya kaunti kwa ushirikiano na serikali kuu kujenga viwanda ili kuwasaidia kuuza matunda...
Baada ya kushuhudiwa vurugu na uharibifu wa mali ya shule katika Shule ya upili ya wavulana ya Malindi, hali imerejea kama kawaida na wanafunzi wa kidato...
Mamlaka ya ukusanyaji ushuru nchini (KRA) kwa ushirikiano idara ya usalama imekamata shehena ya sigara haramu milioni 9.5 katika bandari ya Mombasa zilizokuwa zimefichwa ndani ya...
Bei za baadhi ya bidhaa humu nchini zinatarajiwa kupanda hata zaidi msimu huu ikilinganishwa na hapo awali. Wafanyibiashara wanaoagiza bidhaa kutoka nchi jirani Tanzania mjini Kilifi...
Serikali imesema imechukua hatua za dharura ili kuongeza ufanisi katika bandari ya Mombasa, kufuatia ongezeko kubwa la mizigo linalosababisha msongamano mkubwa wa meli bandarini humo. Ongezeko...
Rais wa Tanzania Samia Suluhu sasa ametaka mazungumzo na upinzani wa taifa hilo baada ya uchaguzi uliokumbwa na utata na ghasia. Wito huu ukitolewa siku moja...
Serikali ya kaunti ya Mombasa imeshinikizwa kuheshimiana na bunge la Kaunti hiyo katika utendakazi wao, kwani malumbano kati yao yanaweza kuathiri utekelezaji wa miradi ya maendeleo...
Hatimaye wanaharakati Bob Njagi na Nicholas Oyoo wameachiliwa huru, siku 38 baada ya kutekwa nyara nchini Uganda wakisema walizuiliwa na jeshi la nchi hiyo kwa muda...
Idara ya mahakama katika kaunti ya Kilifi imesema imerekodi kesi 90 za visa vya dhulma dhidi ya watoto mwaka wa 2025 pekee katika huku kesi 46...